Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Nilijua tu kwenye ubuyu huwezi kuchomoa. Tena kuna huu nimeuona unatoka Madagascar. Utamu wake unaambiwa ni mpaka kwenye vidole 😜

Nikutumie wapi sasa? Huko jangwani kwenye mibuyu mingi si ulishamalizana nako au bado? Toa mwongozo tu....
Utume kule kule kwa siku zote🤣🤣🤣
 
Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..

Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).

Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺

Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Duuuh halali ya hatari. ndugu yetu kipenzi chetu mume wa mtu huyu ameanza kula karanga ili maisha yaendelee.
Kila anachotumia nyumbani kwake mama anawasiwasi kuingizwa kwenye grid ogopa sana TAMAA.
 
sio uwoga kwa mfano nakuja kukula wewe alafu mme wako ananimwagia tindikali nani mwenye hasara? au mke wangu anatufumania mimi na wewe, anakupiga kisu ? itakuaje?
Si ndio nimesema Do at your own risk dear.
 
Back
Top Bottom