mume wa mtu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mwanamama mtendaji wa benki ya JP Morgan US katika tuhuma nzito za kumdhalilisha na kumdhulumu kingono mume wa mtu

    Ni mmojawapo wa watendaji wandaamizi wa benki hiyo, mambo anayotuhumiwa nayo ni unyanyasaji wa kingono wa mmoja wa wanaume ambaye ni mfanyakazi wa chini yake katika benki hiyo. Pamoja na mambo mengine anatuhumiwa kumladhimisha mwanaume huyo ngono kwa njia ya mdomo(kunyonga uume wake) na...
  2. appoh

    JamiiForums Tanzania Vijana tutafute hela michepuko yafikishana polisi kisa kugombania mume wa mtu

    Ukisikia ule msemo kua nakupemda wewe na huyo mke wako ndio unatumika hapa sasa Wasanii gach na yammtzy wamefikishana polisi sababu kubwa kugombania bwana ambae ni mume wa mtu mwiz wa kwanza alikua ni gach mwiz akaibia na yamm mwiz wa kwanza akaemda polis kushtaki vijana tutafute hepa...
  3. Sigonella Island

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya kuzini na mke au mume wa mtu

    Nimeshuhudia ndoa zikivunjika kwa tatizo la uzinifu baina ya mke au mume wa mtu. Na madhara makubwa huenda hasa kwa watoto ambao hawahusiki na kosa la mzazi mzinifu. Mzinifu wa kike unatakiwa utambue ukiachika sehemu za Siri zitaenda kuumia na kuchakaa zaidi huko mtaani kuliko hapo kwa mumeo...
  4. jannelle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

    Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa.. Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade). Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema...
  5. Aathan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wa mtu

    Nini ilitokea baada ya kumfinyia kwa ndani mume wa mtu. Tupa habari yako hapa
  6. EDIGAR JO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu. Lakini misimamo ya kuwa baba najiona sina

    Kwa mtizamo wangu najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu 😎 Lakini nikiangalia upande wa misimamo ya kama Baba wa familia najiona sina .Ati nifanyaje ili nioe ?
  7. The redemeer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usitembee na mume wa mtu

    MWANANGU USITEMBEE NA MUME WA MTU .. Binti mmoja alikua anatembea na mume wa mtu, alikua akifanya kwa siri lakini Mama yake alijua, baada ya kuona vile Mama yake alimkalisha chini na kumuuliza kwanini anafanya vile? Binti hakua na jibu la maana lakini alimuambia Mama yake yeye anamheshimu mke...
  8. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mume wa mtu,nataka nimzalie lakini nahisi mbegu zake zina shida ni kama maji nifanye nini?

    Kaka naomba unisaidie nifanye nini, ni binti wa miaka 30, nimeolewa ndoa yangu ina mwaka sasa. Kuna mwanaume mwingine niko naye, ni mume wa mtu ila ndiyo mwanaume wangu na nampenda sana hakuna namna naweza kumuacha, nilikua naye kabla ya ndoa na niliolewa tu kwakua nyumbani walikua wananipigia...
  9. Miss Natafuta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waliooa/kuolewa na mtu ambaye alikuwa kwenye ndoa nyingine kabla, mnaendeleaje?

    Hebu tupeni ushuhuda wale ambao mlioa mwanamke ambae alikuwa na ndoa yake akaachana na mumewe kwa ajili yako, je, unaishije nae? Mko happy au jinamizi la ndoa ya Kwanza linawatesa? Pia wanawake na nyie kama ukiolewa na mwanaume aliyemuacha mkewe kwa ajili yako hapo mjengoni unapumua vizuri...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hakika nyakati zinakimbia, nakumbuka wimbo wa dataz/joan wakionyana kuhusu mume wa mtu leo zuchu analazimisha uke wenza kwa nguvu na vijana wana-cheer

    "Sikiliza nikuambie wewe dataz mume wa mtu ni hatariiii...🎶" https://youtu.be/EPQiEXLzYY4?si=B60DDmFLAMapuPFh Siku hizi mna visabengo kwenye muziki sasa mnakaa kuhamasishwa alafu yakiwakuta ya kuwakuta mnatia huruma mitandaoni 😂 "oooh sijui leo ndio ujue mimi ni mke mwenzako hata kama hautaki...
  11. Right Marker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukila na kipofu usimshike mkono!

    Mhadhara - 46: Upo msemo ambao unasema; "Ukila na kipofu usimshike mkono", lakini pia "Usimnyapie kuku kwenye majani makavu". Kama umebahatika kujipenyeza kwenye ndoa ya mtu au mahusiano ya mtu kwasababu ya faida zako basi punguza mbwembwe, la sivyo utakatwa mapanga mchana kweupeee au utupiwe...
  12. Joannah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kero za kudate mume wa mtu

    Hey Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi... Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya...
  13. Phobia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimepata mwanaume mwingine nae ni mme wa mtu

    Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu! Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana...
  14. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Sheria inasemaje kuhusu kutoka na mke au mume wa mtu?

    Habari, hivi kisheria ukimkamata mtu katembea na mke au mume wako anashughulikiwaje?
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa. Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa. Huwezi...
  16. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Mke wa mtu ni Sumu ila Mume wa mtu ni Asali?

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Kumekuwa na Video ya Binti mmoja inayozunguka mitandaoni ikionyesha namna anavyobakwa na kukawitiwa na Vijana kadhaa,Vijana hao ambao wamesikika wakitamka hadharani na kumshurutisha yule Binti akili hadharani na kumuomba radhi Afande. Kwa akili ya...
  17. cold water

    JamiiForums Tanzania Mume wa mtu sumu kweli?

    Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaachana kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena...
  18. cold water

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

    Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa tulishaachana sababu ya kuachana nili shift mkoa otherwise tungekua tuna date hadi Leo. Sasa kuna mume wa MTU...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Duh instagram imejaa matangazo ya waganga mara kuiba mume wa mtu, libwata na kurudisha nyota.

    Ukitaka kula pesa ya mwa afrika basi uijiingize ktk huduma za kiroho na ukitaka kujua roho chafu za watu basi mnunulie pombe mganga alewe alafu akuambie mambo anayoletewa kuyafanyia kazi. Ni mapicha unayaona tu mara mbuzi ameuliwa na amechorwa maumbo na alama tofauti. Alafu chini ya posts zao...
  20. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vimba sana tembea na mume wa mtu au mke wa mtu kaa kwa kutulia, Karma is Real and Her other Name is a Reciproca.

    Shalom, Kula shoo ya mume wa mtu kula shoo ya mke wa mtu ila ukweli ni kwamba malipo ni hapahapa Duniani. Karoge kajizindike but karma has no prevention. Na karma inachagua yenyewe uje kwa namna ipi na huwezi kuihuisha na matendo yako, unazaa mtoto mlevi mvuta bangi, wakati wewe ulikuwa...
Back
Top Bottom