Hata mama ako hana mume 😅😁😅😅Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Ni upuuzi kabisa kudeal na mwanamke mwenzako kisa mwanaume, miki nitajuaje kama huyo mwanamke alietongozwa na mume wangu kama anajua ana mke? Wanaume hawana shukrani, utaokotesha makopo wangapi?🚮 Deal na mmeo na si huyo anaetongozwa napengine hajui loloteKwaiyo upo tayar mwanaume wako awe shared na wanawake wengine Kwa kigezo hakuna mume wa mtu sio ?
Unaujua uchungu wa mume wewe? Nadhan unaongea bila experience
Jaribu kugusa mume wa mtu mwenyewe ajue yaan gusa halafu mwenye mume ajue alooh sikuhizi watu hawatak utan na watu wao utaanza kuokota makopo chap
Mume wa mtu yupo, wapo , wataendelea kuwepo. But hiyo title iko reserved kwa wale wanao stahiliJamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Kwa hiyo una maana mume ni mteja na mke ni bidhaa toka dukani mwa baba mwanangu?Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Unamaanisha mumeo kabutua nje ndio maana umekubali kuwa hamna mume wa mtu?🤣🤣 Pole sanaHaha jichanganye