Ndio tunaowakula mashemeji sasa.Kijana wa hovyo
Ahaa bwana usiniogopeHaah hapana kwakweli
👊🏼Kabisa😊 Si wote used. Mtumba Original
Njoo turuke aisee........... 😀Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Njoo aisee bana. Kwa hiyo size ya kwenye profile iliyopo mi ndio ugonjwa wangu.Embu tulia 😊