Hujuwi kuwa tunapeana raha za milele na upako mtakatifu? Jiangalie wewe hapo ulipo, umeliwa na wanaume wangapi ambao ni waume za watu na wewe si mke wa mtu siyo, sasa unashangaa nini? Wanaliwa wabunge na viongozi wengine sembuse wewe usiyejulikana? Angalia malkia wa Uingereza hivi sasa huyu Camilla, alikuwa anatombwa kwenye mabanda ya farasi wakati Charles akiwa na mke wa ndoa, Princess Diana. Tumepewa ili tupeane ila kwa uangalifu si kwa kukomoana.Mmh sasa hiyo mpya tena😊
Mmh Baada ya Jesus unakuja wewe👋🏼
Haimaanishi wanawake kama women bali wametumika kama lugha ya picha.
Saivi una ngapiKuna watu wengi sana waaminifu, wengi sana, umri unakuma umesogea, Mimi nilianza nikiwq na miaka 45
Saivi una ngapi
Lugha ya picha eeeh!?Haimaanishi wanawake kama women bali wametumika kama lugha ya picha.
Fikisha salamu shemSemeji semeji 😀
Mwanamke anatumika kama kanisa kimaandiko, mwanaume utumika kama Yesu.Lugha ya picha eeeh!?
Na kila mtu yuko huru kutafsiri kivyake ama?
Wewe ni nani alikwambia kuwa ni lugha ya picha imetumika?
Maana halisi iliyokusudiwa ni ipi? Na tutajuaje kuwa hiyo ndiyo maana halisi iliyokusudiwa?
Wewe nani amekwambia kwamba linamaanisha hivyo? Ni akili zako tu ama? Akija mwingine na tafsiri tofauti tutampinga kwa vigezo gani? Huu si ndiyo mwanzo wa mkanganyiko tunaouona kwenye ukristo kila mmoja akihubiri la kwake? Na hiyo maana uliyoitoa wala hai-make sense ukiangalia muktadha wa andiko hili!Mwanamke anatumika kama kanisa kimaandiko, mwanaume utumika kama Yesu.
Chakula utumika kama mafundisho.
Nakupa maana yake.
Andiko hilo lina maanisha .
Siku za mwisho patakuwepo na makanisa mengi sana ya Kikristo yakijifanya kufundisha habari za Kristo
Lugha ya picha eeeh!? Wakimaanisha nini?Haimaanishi wanawake kama women bali wametumika kama lugha ya picha.
Umefikiaje katika tafsiri hiyo? Kuna mwongozo uliosimikwa katika ukweli (wa kihistoria ama vinginevyo) uliokufanya ufikie tafsiri hiyo? Wewe ni Msabato? 😉Mwanamke anatumika kama kanisa kimaandiko, mwanaume utumika kama Yesu.
Chakula utumika kama mafundisho.
Nakupa maana yake.
Andiko hilo lina maanisha .
Siku za mwisho patakuwepo na makanisa mengi sana ya Kikristo yakijifanya kufundisha habari za Kristo
Mmh😌 sijawahi tembea na mme wa mtu, pili unajuaje kama sijulikani😂Hujuwi kuwa tunapeana raha za milele na upako mtakatifu? Jiangalie wewe hapo ulipo, umeliwa na wanaume wangapi ambao ni waume za watu na wewe si mke wa mtu siyo, sasa unashangaa nini? Wanaliwa wabunge na viongozi wengine sembuse wewe usiyejulikana? Angalia malkia wa Uingereza hivi sasa huyu Camilla, alikuwa anatombwa kwenye mabanda ya farasi wakati Charles akiwa na mke wa ndoa, Princess Diana. Tumepewa ili tupeane ila kwa uangalifu si kwa kukomoana.