white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
Sasa kama walikuwa majeuri unategemea nini??wakati baba yao akiwa hai, hawakutaka hata ndugu akanyage kwao, ndio hapo sponsor anapo kufa!!Watoto wa Marehemu wananyanyaswa
Sasa kama walikuwa majeuri unategemea nini??wakati baba yao akiwa hai, hawakutaka hata ndugu akanyage kwao, ndio hapo sponsor anapo kufa!!Watoto wa Marehemu wananyanyaswa
Gharama za India atalipiwa na Vicoba?
😀😀😀😀😀Pamoja na kuwa muungwana na kuamua kujiuzulu nafasi yake ya uspika wa bunge la JMT, kuna uwezekano mkubwa Job Ndugai akajiuzulu nafasi yake ya ubunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya CCM kwani ubunge wake ndio ulipelekea kuchaguliwa na wabunge wenzake kuwa spika wa bunge. Hivyo basi, itakuwa jambo la busara, kheri na uungwana kwa Ndugai kuachia ubunge wake ili akae pembeni apate muda wa kujijenga kisiasa na kurudi mwaka 2025 akiwa kiumbe kipya.MAONI YANGU
Kwa hatua hii aliyofikia kisiasa, hakuna namna nyingine zaidi ya kujiuzulu ubunge kwa hiari na kwa roho safi kama ailivyofanya vema kujiuzulu nafasi ya uspika. Ni jambo la busara kwa mwamba huyu wa siasa za CCM afanye hima ajiuzulu ubunge ndani ya wiki hii ili kuokoa hadhi yake ya kisiasa. Akifanya hivyo atajijengea heshima kubwa si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla. Na akikaa pembeni umaarufu wake utapanda maradufu hivyo kushinda ubunge kirahisi katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Si ajabu ndani ya kipindi kifupi umaarufu wa Ndugai umeshuka kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kumpiga kofi hadharani na asimfanye chochote. Kwa ufupi ni kwamba amekuwa kama mtu aliyefunaniwa. Mfumaniwaji kwa kawaida huwa mpole kupitiliza na mara zote hufuata maagizo ya wafumanizi bila kujali udogo wao. Hata mtoto mdogo anaweza kumshika pu**bu bila woga.
Kuna mifano ya viongozi wengi waliopoteza nafasi zao na kisha kuzirudisha na kufanikiwa zaidi kisiasa. Mfano halisi ni Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi ambaye wakati mmoja alijiuzulu nafasi ya uwaziri lakini hatimaye alijijenga upya kisiasa hadi kufikia kuwa Rais wa JMT kwa kipindi cha miaka 10. Job Ndugai hatakuwa wa kwanza kuachia kiti chake cha ubunge mara moja ajenge upya heshima yake ya kisiasa. Mtaalamu mmoja wa mambo ya siasa ametoa angalizo kuwa endapo Ndugai atakaidi kufanya hivyo kuna uwezekano jina lake likakatwa mwaka 2025 hivyo kuzikwa kabisa kisiasa. “Ni vizuri acheze karata zake vizuri sasa ikiwa bado anatamani kuwa kiongozi mkubwa zaidi katika nchi siku za usoni, hata ikibidi siku moja wananchi tumchague kuwa Rais wetu”. Alionya.
Ada ya mja hunena: muungwana ni vitendo. Kwa kuwa tayari ameonyesha uungwana wa kutosha amejiuzulu uspika haifai chochote ikiwa atang’ang’ania kuendelea na ubunge wake ilhali tayari heshima yake ya kisiasa ilishashuka mno. Hatakuwa tofauti na Profesa Muhongo ambaye tangu atenguliwa kutoka nafasi ya uwaziri amekuwa mpole kama kinda la ndege lililonyeshewa na mvua ya mawe. Sitaki na Ndugai naye afikie hatua hii. Saa ya kufanya uamuzi ni sasa, asisubiri zaidi.
Muheshimiwa mbunge wa Kongwa swali la nyongeza...
HahaahLakini kumbuka Msukuma ni msomi wa PhD wakati Ndugai ni mchunga ng'ombe wa kawaida tu. Msukuma sasa hivi yupo level ya maprofesa. ✍️
Muheshimiwa mbunge wa Kongwa swali la nyongeza...
Kweli kabisa mkuu Bulesi kama kweli anataka kulinda credibility yake kisiasa akae pembeni kwanza ausome mchezo. Akiwa bench ndipo atausoma mchezo vizuri zaidi kuliko kubakia ndani ya ulingo huku akibakia kuwa mnyonge.Ndugai akifuata ushauri wako wa kujizuru ubunge ,ana nafasi kubwa ya kujijenga tena kisiasa vinginevyo akiendelea kuwa mbunge katika bunge hili alilokuwa Spika , hadhi na heshima yake zitapungua sana. Ni vema akakaa pembeni akapumzika na akapata wasaa wa kujikarabati na kujifua kwa ajili ya siku za baadae,2025 sio mbali!!!
😁😁😁😁Watoto wa Marehemu wananyanyaswa
Bado ni mbunge angalia website ya bungeMbona kwenye taarifa yake amewaaga na wananchi wa jimbo lake la kongwa?hawezi akaendelea kuwa mbunge tena!!
Ugumu pekee atakaopata ni kurudi bungeni mle kama mbunge wa kawaida na kutakiwa kufuata taratibu zote kwa mujibu wa sheria na maagizo ya spika/naibu spika. Kiutaratibu inawezekana, ila kiubinadamu ni ngumu kidogoPamoja na kuwa muungwana na kuamua kujiuzulu nafasi yake ya uspika wa bunge la JMT, kuna uwezekano mkubwa Job Ndugai akajiuzulu nafasi yake ya ubunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya CCM kwani ubunge wake ndio ulipelekea kuchaguliwa na wabunge wenzake kuwa spika wa bunge. Hivyo basi, itakuwa jambo la busara, kheri na uungwana kwa Ndugai kuachia ubunge wake ili akae pembeni apate muda wa kujijenga kisiasa na kurudi mwaka 2025 akiwa kiumbe kipya.MAONI YANGU
Kwa hatua hii aliyofikia kisiasa, hakuna namna nyingine zaidi ya kujiuzulu ubunge kwa hiari na kwa roho safi kama ailivyofanya vema kujiuzulu nafasi ya uspika. Ni jambo la busara kwa mwamba huyu wa siasa za CCM afanye hima ajiuzulu ubunge ndani ya wiki hii ili kuokoa hadhi yake ya kisiasa. Akifanya hivyo atajijengea heshima kubwa si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla. Na akikaa pembeni umaarufu wake utapanda maradufu hivyo kushinda ubunge kirahisi katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Si ajabu ndani ya kipindi kifupi umaarufu wa Ndugai umeshuka kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kumpiga kofi hadharani na asimfanye chochote. Kwa ufupi ni kwamba amekuwa kama mtu aliyefunaniwa. Mfumaniwaji kwa kawaida huwa mpole kupitiliza na mara zote hufuata maagizo ya wafumanizi bila kujali udogo wao. Hata mtoto mdogo anaweza kumshika pu**bu bila woga.
Kuna mifano ya viongozi wengi waliopoteza nafasi zao na kisha kuzirudisha na kufanikiwa zaidi kisiasa. Mfano halisi ni Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi ambaye wakati mmoja alijiuzulu nafasi ya uwaziri lakini hatimaye alijijenga upya kisiasa hadi kufikia kuwa Rais wa JMT kwa kipindi cha miaka 10. Job Ndugai hatakuwa wa kwanza kuachia kiti chake cha ubunge mara moja ajenge upya heshima yake ya kisiasa. Mtaalamu mmoja wa mambo ya siasa ametoa angalizo kuwa endapo Ndugai atakaidi kufanya hivyo kuna uwezekano jina lake likakatwa mwaka 2025 hivyo kuzikwa kabisa kisiasa. “Ni vizuri acheze karata zake vizuri sasa ikiwa bado anatamani kuwa kiongozi mkubwa zaidi katika nchi siku za usoni, hata ikibidi siku moja wananchi tumchague kuwa Rais wetu”. Alionya.
Ada ya mja hunena: muungwana ni vitendo. Kwa kuwa tayari ameonyesha uungwana wa kutosha amejiuzulu uspika haifai chochote ikiwa atang’ang’ania kuendelea na ubunge wake ilhali tayari heshima yake ya kisiasa ilishashuka mno. Hatakuwa tofauti na Profesa Muhongo ambaye tangu atenguliwa kutoka nafasi ya uwaziri amekuwa mpole kama kinda la ndege lililonyeshewa na mvua ya mawe. Sitaki na Ndugai naye afikie hatua hii. Saa ya kufanya uamuzi ni sasa, asisubiri zaidi.
Mheshimiwa mbunge wa Kongwa naweza kukufanya usiongee chochote hakuna taarifa wala nini na hamna kitu utafanya kaa chini😅Muheshimiwa mbunge wa Kongwa swali la nyongeza...😂😂
Shida ni kwamba ni Mbunge wa CCM yani atakuwa zoba wa karne😅 maana hata kumtia spana mama hawezi atabakia kuskilizia posho tu!Ugumu pekee atakaopata ni kurudi bungeni mle kama mbunge wa kawaida na kutakiwa kufuata taratibu zote kwa mujibu wa sheria na maagizo ya spika/naibu spika. Kiutaratibu inawezekana, ila kiubinadamu ni ngumu kidogo
Hili ndilo tatizo la wabunge wachumia tumbo. Yupo tayari kudhalilika ndani ya bunge ilmradi mkono uende kinywani. Uchumia tumbo haujawahi kumuacha mchumiaji salama.Shida ni kwamba ni Mbunge wa CCM yani atakuwa zoba wa karne😅 maana hata kumtia spana mama hawezi atabakia kuskilizia posho tu!