Kwa maoni ya namshauri mh Ndugai ajiuzulu ubunge apumzike siasa abaki mwanamtandao tu wa siasa za kimkakati
Sipati picha mh Ndugai anamuomba msadizi wake za zamani nafas ya kuuliza swali la nyongeza!

Mzee Ndugai yupo humu JF. Mzee ulipata ajali ya kisiasa jiuzulu ubakishe heshima kidogo iliyobaki. Kama ni mikopo ya CrdB utalipa tu kinua mgongo kipo
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Kwani kuna mbunge au waziri hata raisi huwa anakaa linapoanza bunge? Au kichwa chako ni bure,
Hakuna anayekaa bungeni wakati spika anaingia na yeye mwenyewe husimama akifika ndani
 
Ana kesi ya Jinai kuwapiga kwa bakora wapiga kura wake na waandishi wa habari.
Alizidhalilisha taasisi zingine zikimwandikia barua za kiofisi kwa mhimili wa Bunge.Nayeye alizijibu kwa jaziba huku mtendaji mkuu wa binge ni katibu wa bunge.
Ameikanyaga katiba Mara kwa Mara kisa ubabe.

Kulinda heshima yake ili abakiwe angalau na kaheshima ajivue pia hata ubunge ili jumbo limpate mbunge asiye na makandokando jimboni kongwa na Taifa.
CCM mmuazimie pia aachie ubunge jimboni.
Ila asikuambie NTU tutu pesa tamu.
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Hana hiyo hekima.Ndiyo maana anatakiwa kulipwa asilimia 80 ya mshahara wa spika aliyepo hadi kifo.Hatakiwi kuwa na mishahara miwili,hivyo alitakiwa kulazimishwa kujiuzulu.
Huwa hawana aibu hawa wanaojilazimishia u ccm uchwa.
Jiulize utambulisho wa Mbunge wa Kongwa Spika Mstaafu aulize swali la nyongeza.CCM hata wakijiuzulu wanatambulishwa kama wastaafu.
 
Kwa maoni ya namshauri mh Ndugai ajiuzulu ubunge apumzike siasa abaki mwanamtandao tu wa siasa za kimkakati
Sipati picha mh Ndugai anamuomba msadizi wake za zamani nafas ya kuuliza swali la nyongeza!

Mzee Ndugai yupo humu JF. Mzee ulipata ajali ya kisiasa jiuzulu ubakishe heshima kidogo iliyobaki. Kama ni mikopo ya CrdB utalipa tu kinua mgongo kipo
Hivi mnaokazania jiuzulu.....jiuzulu, ili iweje?

Je mtamlishia na kuitunza familia yake?

Yeye kama Spika mstaafu na Mbunge mzoefu.
Bado mchango wake bungeni unahitajika kuliko akikaa nyumbani.

Bunge la sasa limejaa wabunge wageni wasiojua lolote.

Weengi wameingia kwa kimbunga cha JPM.
 
Pamoja na kuwa muungwana na kuamua kujiuzulu nafasi yake ya uspika wa bunge la JMT, kuna uwezekano mkubwa Job Ndugai akajiuzulu nafasi yake ya ubunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya CCM kwani ubunge wake ndio ulipelekea kuchaguliwa na wabunge wenzake kuwa spika wa bunge. Hivyo basi, itakuwa jambo la busara, kheri na uungwana kwa Ndugai kuachia ubunge wake ili akae pembeni apate muda wa kujijenga kisiasa na kurudi mwaka 2025 akiwa kiumbe kipya.

Kwa hatua hii aliyofikia kisiasa, hakuna namna nyingine zaidi ya kujiuzulu ubunge kwa hiari na kwa roho safi kama ailivyofanya vema kujiuzulu nafasi ya uspika. Ni jambo la busara kwa mwamba huyu wa siasa za CCM afanye hima ajiuzulu ubunge ndani ya wiki hii ili kuokoa hadhi yake ya kisiasa. Akifanya hivyo atajijengea heshima kubwa si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla. Na akikaa pembeni umaarufu wake utapanda maradufu hivyo kushinda ubunge kirahisi katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Si ajabu ndani ya kipindi kifupi umaarufu wa Ndugai umeshuka kiasi kwamba hata mtoto mdogo anaweza kumpiga kofi hadharani na asimfanye chochote. Kwa ufupi ni kwamba amekuwa kama mtu aliyefunaniwa. Mfumaniwaji kwa kawaida huwa mpole kupitiliza na mara zote hufuata maagizo ya wafumanizi bila kujali udogo wao. Hata mtoto mdogo anaweza kumshika pumbu bila woga.

Kuna mifano ya viongozi wengi waliopoteza nafasi zao na kisha kuzirudisha na kufanikiwa zaidi kisiasa. Mfano halisi ni Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi ambaye wakati mmoja alijiuzulu nafasi ya uwaziri lakini hatimaye alijijenga upya kisiasa hadi kufikia kuwa Rais wa JMT kwa kipindi cha miaka 10. Job Ndugai hatakuwa wa kwanza kuachia kiti chake cha ubunge mara moja ajenge upya heshima yake ya kisiasa. Mtaalamu mmoja wa mambo ya siasa ametoa angalizo kuwa endapo Ndugai atakaidi kufanya hivyo kuna uwezekano jina lake likakatwa mwaka 2025 hivyo kuzikwa kabisa kisiasa. “Ni vizuri acheze karata zake vizuri sasa ikiwa bado anatamani kuwa kiongozi mkubwa zaidi katika nchi siku za usoni, hata ikibidi siku moja wananchi tumchague kuwa Rais wetu”. Alionya.
MAONI YANGU
Ada ya mja hunena: muungwana ni vitendo. Kwa kuwa tayari ameonyesha uungwana wa kutosha amejiuzulu uspika haifai chochote ikiwa atang’ang’ania kuendelea na ubunge wake ilhali tayari heshima yake ya kisiasa ilishashuka mno. Hatakuwa tofauti na Profesa Muhongo ambaye tangu atenguliwa kutoka nafasi ya uwaziri amekuwa mpole kama kinda la ndege lililonyeshewa na mvua ya mawe. Ndugai naye amefikia hatua hii. Saa ya kufanya uamuzi ni leo, asisubiri kesho.​
Angekuwa BABA YAKO ungeniambia AJIUZULU?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuhusu katibu mkuu kiongozi aliyefurushwa ndugu Bashiru Ally Kakurwa?

Unaweza kutuambia John Malecela hakurudi bungeni baada ya kuwa waziri mkuu?

Vipi kuhusu Lowassa baada ya kujiuzuru 2007 akiwa waziri mkuu hakurudi tena 2010 bungeni?

Kwa nini Jobo?
Kwa kuwa Kuna kimbunga jobo?
 
Hivi mnaokazania jiuzulu.....jiuzulu, ili iweje?

Je mtamlishia na kuitunza familia yake?

Yeye kama Spika mstaafu na Mbunge mzoefu.
Bado mchango wake bungeni unahitajika kuliko akikaa nyumbani.

Bunge la sasa limejaa wabunge wageni wasiojua lolote.

Weengi wameingia kwa kimbunga cha JPM.
Kwanza SEMA kama ni voicer mwimba mapambio wa wakati ule au tofauti ili tiendesawa🤔.
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Agombee unaibu spika
 
Back
Top Bottom