Mkimwongeza muda mujiandae pia na bakora zake😃.Atake asitake tutamuongezea muda...
Mkimwongeza muda mujiandae pia na bakora zake😃.Atake asitake tutamuongezea muda...
Hiyo ni kazi aliyopewa na wananchiKuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.
Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.
Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Muosha huoshwa. Muache naye anyanyasike. Kuteseka kwa zamuKuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.
Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.
Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Vipi kuhusu katibu mkuu kiongozi aliyefurushwa ndugu Bashiru Ally Kakurwa?Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.
Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.
Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Atake asitake tutamuongezea muda...
Ila kumbuka mwenzio anakula pension taartiiibu🏃.Muosha huoshwa. Muache naye anyanyasike. Kuteseka kwa zamu
Daaa dunia hii, Kupitia JPM, Ndugai, Bashiru na Sabaya nimejifunza mengiMuosha huoshwa. Muache naye anyanyasike. Kuteseka kwa zamu
Mungu anaifahamu hatma ya wote🤔.Daaa dunia hii, Kupitia JPM, Ndugai, Bashiru na Sabaya nimejifunza mengi
Asikuambie ntu tu tuuu, pesa tamu, asikuambie ntu tu tuuu, pesa tamu... Asikuambie ntu tu tuuu bia tamu⛹️.Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.
Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.
Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Ongezea David Cleopa MsuyaVipi kuhusu katibu mkuu kiongozi aliyefurushwa ndugu Bashiru Ally Kakurwa?
Unaweza kutuambia John Malecela hakurudi bungeni baada ya kuwa waziri mkuu?
Vipi kuhusu Lowassa baada ya kujiuzuru 2007 akiwa waziri mkuu hakurudi tena 2010 bungeni?
Kwa nini Jobo?
Heshima ipi mkuu?Ushauri mzuri,kulinda heshima
Na mtanifanya nini nikiwachapa😆Mkimwongeza muda mujiandae pia na bakora zake😃.
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.
Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.
Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Samweli Sitta alikuwa Spika mwaka 2005 - 2010 na kisha akawa mbunge bila uspika japo alipewa uwaziri mwaka 2010 - 2015. hivyo sahihisha maelezo yako.Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.