Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Hiyo ni kazi aliyopewa na wananchi
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Muosha huoshwa. Muache naye anyanyasike. Kuteseka kwa zamu
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Vipi kuhusu katibu mkuu kiongozi aliyefurushwa ndugu Bashiru Ally Kakurwa?

Unaweza kutuambia John Malecela hakurudi bungeni baada ya kuwa waziri mkuu?

Vipi kuhusu Lowassa baada ya kujiuzuru 2007 akiwa waziri mkuu hakurudi tena 2010 bungeni?

Kwa nini Jobo?
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Asikuambie ntu tu tuuu, pesa tamu, asikuambie ntu tu tuuu, pesa tamu... Asikuambie ntu tu tuuu bia tamu⛹️.
 
Mbona kuna mawaziri kibao wamewahi kuenguliwa na bado wako bungeni kama wabunge?

Lowassa alijiuzuru uwaziri mkuu lakini aliendelea kuwa mbunge wa Monduli mpaka alipoamua kugombea uraisi wa JMT.
 
Kuna nafasi kwenye uongozi wa kisiasa ukifikia basi mwisho wa huo uongozi huwa ni kama lazima mtu astaafu.Nafasi kama ya urais, uwaziri mkuu, jaji mkuu na spika wa Bunge hizi ni nafasi kubwa sana kwenye uongozi wa Nchi.

Job Ndugai alikuwa spika wa Bunge letu tukufu manake ndiye alikua mkuu wa mhimili wa Bunge na leo kajiuzulu uspika sasa amebaki kama mbunge wa kawaida manake itabidi awe anasimama spika akiingia bungeni.

Sasa hali hii itamuumiza kisaikilojia na hatakua na amani kukaa bungeni.

Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa namshauri ajiuzulu kulindi hadhi yake.

Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.


Naunga mkono inaekea ni makusanyo ya pesa tu ndiyo tatizo hapa. Spika angetakiwa asiwe mbunge kabisa
 
Tanzania haijawai kuwa na Spika wa Bunge na badae akawa Tena mbunge na hii inamanisha mwisho wa hivi vyeo huwa ni kistaafu.
Samweli Sitta alikuwa Spika mwaka 2005 - 2010 na kisha akawa mbunge bila uspika japo alipewa uwaziri mwaka 2010 - 2015. hivyo sahihisha maelezo yako.
 
Back
Top Bottom