Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa

Makinikia tuliyoambiwa yana madini ya thamani kubwa sasa yanasafirishwa kama awali na bado watu wanashangilia
Wakati hujajua kilichokuwa kinafanyika ulikuwa ukihoji?

Na Kwa nini yalisimamishwa?
Mkuu, kuna mengine si kuponda Tu, Bali Kwa usomi na ule uwepo wako kama Mtanzania unapaswa kuongezea palipopungua Ila si ule ushauri wa Tanzania itapelekwa Miga
 
Zikiingia tu hata zile ndogo, zinatosha kusema JPM Ni jasiri wa mambo magumu yasiyotabirika

Binafsi Kwa kipindi kile niliamini kabisa ni lazima Jambo hili lifike MiGa na litaleta sintofahamu kwenye serikali ya JPM

Sasa hiyo inatosha kuwaambia waoga wote wa Tanzania kuwa hawafai kuongoza nchi hii, si Lisu Wala Vyama vinavyoongoza kutetea majizi na majambazi ya ngozi nyeupe
Sio kila ishu iende kwenye suluhu za kimahakama. Kama unaweza malizana na mgomvi wako unatusua tu.

Kwa uwekazaji ule wakienda huko nchi inaweza hata kufilisika. Njia iliyotumika ni bora.

Bila shaka sisi ndiyo tulipendelea sana pengine hata kuwashawishi tukae nao mezani.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using iphone pro max
 
Vipi mchakato wa kujenga kinu chetu cha kuchenjulia makinikia umefikia wapi au malengo yale yalitupiliwa mbali kwa kua ilionekana hatuna umeme wa kutosha wa kuendeshea kinu hicho
 
Lissu alisema tutapelekwa MIGA lakini Mh. Rais Magufuli kwanza amewafulumsha wezi Acacia pia sasa tunafanyakazi na Barrick na wameanza kutulipa pesa yetu bado faida ya madini yetu ya kila mwaka lazima pia tuzipate! Pesa zote zinawekwa hapahapa kwenye Benki zetu. Mungu atupe nini jamaniiii. Heko Rais wetu Magufuli.
"Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!''
 
Ripoti mbili za CAG zinaonyesha 2.7 trillions hazijulikani zilipo. Bunge DHAIFU limenyuti halafu mtu anashangilia kupata $300 millions. Aliyewaroga baadhi ya Watanzania uchawi wake si wa kawaida hata kidogo.
Ripoti ipi CAG inaonyesha hizo fedha hazijulikani zilipo? Nenda kwanza kajadili mil.50 anazolipwa mbowe kila mwezi kwa deni hewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barrick pays Tanzania initial $100 million after gold shipments resume

[http://p16-va]

Reuters
May 25, 2020 4:06 pm

Follow

DAR ES SALAAM (Reuters) - Barrick’s Tanzania subsidiary Twiga Minerals has resumed exports of gold concentrate after receiving clearance for its first shipments since the lifting of a government ban imposed during a tax dispute with the mining company.

The dispute originally involved Acacia Mining, which was taken over by Barrick last year. The Tanzanian government imposed a ban on exporting mineral concentrates in 2017 after accusing Acacia of tax evasion.
Tanzania said it would lift the ban on Jan. 24 when the two parties signed a deal in which the government took a 16% stake in Twiga Minerals - a new joint venture managing Barrick’s three gold mines.
“In terms of its framework agreement with the government, the shipping of some 1,600 containers of concentrate stockpiled from Bulyanhulu and Buzwagi resumed in April and the first $100 million received from the sale has gone to the government,” Barrick said in a statement on Monday.
“This initial payment will be followed by five annual payments of $40 million each.”
The deal to end the dispute included a settlement of $300 million to be paid by Barrick to the government.
Earlier on Monday Simon Msanjila, permanent secretary at Tanzania’s ministry of minerals, told Reuters that Twiga has been allowed to export the gold.
Barrick CEO Mark Bristow told Reuters on Jan. 27 that the gold to be exported was worth between $260 million and $280 million.
The more than three-month wait to export the containers has played in Barrick’s favour, given that the price of gold has climbed by about 9% since the end of January, with investors buying the precious metal as a safe-haven asset as the coronavirus pandemic spread.
Barrick also said that 90% of outstanding land claims at its North Mara mine have been settled, with payment scheduled to start on Monday. The North Mara mine has been hit by disputes pitting the community against the mining company.
Reporting by Nuzulack Dausen in Dar es Salaam; Writing by Helen Reid in Johannesburg; Editing by Mark Potter, Emelia Sithole-Matarise and David Goodman

View the original article




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli makinikia yaendelea kusafirishwa nje?

Pascal Mayala nimekuwa nikijua wewe ni msomi kumbe ni wale wale.

Barrick wamelipa $100million kati ya $300m waliohaidi kulipa.

$100million imetokana na mauzo ya kwanza ya container 1600 za makinikia zilizokuwa zimezuiwa na serikali.

$200million zilizobaki wamehsidi kulipa ndani ya miaka 5. Yani kila mwaka ni $40mln.

Kupigwa kupo pale pale.

Kama safari moja ya container 1600 wamefanya mauzo nakupata faida ya zaid ya $100million. Jiulize kwa mwaka wanapeleke contsiner ngapi? Na kila mwaka tunaambulia $40m only!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo uliyomalizia mwisho ilikuwa zamani. Makinikua yanaoekekwa kwa utaratibu maalum kuanzia upakiaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu waambie wafanye analysis ya kiasi gani tumepoteza kama tozo kwa muda ambao container zilisimamishwa pale DSM!
Ni kweli makinikia yaendelea kusafirishwa nje?

Pascal Mayala nimekuwa nikijua wewe ni msomi kumbe ni wale wale.

Barrick wamelipa $100million kati ya $300m waliohaidi kulipa.

$100million imetokana na mauzo ya kwanza ya container 1600 za makinikia zilizokuwa zimezuiwa na serikali.

$200million zilizobaki wamehsidi kulipa ndani ya miaka 5. Yani kila mwaka ni $40mln.

Kupigwa kupo pale pale.

Kama safari moja ya container 1600 wamefanya mauzo nakupata faida ya zaid ya $100million. Jiulize kwa mwaka wanapeleke contsiner ngapi? Na kila mwaka tunaambulia $40m only!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo serious kweli na hizi pongezi au unabariki wizi wa raslimali za Taifa
Barrick pays Tanzania initial $100 million after gold shipments resume

[http://p16-va]

Reuters
May 25, 2020 4:06 pm

Follow

DAR ES SALAAM (Reuters) - Barrick’s Tanzania subsidiary Twiga Minerals has resumed exports of gold concentrate after receiving clearance for its first shipments since the lifting of a government ban imposed during a tax dispute with the mining company.

[content://com]

FILE PHOTO: A visitor passes a Barrick Gold mining company display during the Prospectors and Developers Association of Canada (PDAC) annual convention in Toronto, Ontario, Canada March 4, 2019. REUTERS/Chris Helgren/File Photo
The dispute originally involved Acacia Mining, which was taken over by Barrick last year. The Tanzanian government imposed a ban on exporting mineral concentrates in 2017 after accusing Acacia of tax evasion.
Tanzania said it would lift the ban on Jan. 24 when the two parties signed a deal in which the government took a 16% stake in Twiga Minerals - a new joint venture managing Barrick’s three gold mines.
“In terms of its framework agreement with the government, the shipping of some 1,600 containers of concentrate stockpiled from Bulyanhulu and Buzwagi resumed in April and the first $100 million received from the sale has gone to the government,” Barrick said in a statement on Monday.
“This initial payment will be followed by five annual payments of $40 million each.”
The deal to end the dispute included a settlement of $300 million to be paid by Barrick to the government.
Earlier on Monday Simon Msanjila, permanent secretary at Tanzania’s ministry of minerals, told Reuters that Twiga has been allowed to export the gold.
Barrick CEO Mark Bristow told Reuters on Jan. 27 that the gold to be exported was worth between $260 million and $280 million.
The more than three-month wait to export the containers has played in Barrick’s favour, given that the price of gold has climbed by about 9% since the end of January, with investors buying the precious metal as a safe-haven asset as the coronavirus pandemic spread.
Barrick also said that 90% of outstanding land claims at its North Mara mine have been settled, with payment scheduled to start on Monday. The North Mara mine has been hit by disputes pitting the community against the mining company.
Reporting by Nuzulack Dausen in Dar es Salaam; Writing by Helen Reid in Johannesburg; Editing by Mark Potter, Emelia Sithole-Matarise and David Goodman

View the original article




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom