Unasamehe USD 190 billion na kupokea USD 100 million halafu zingine $ 200 million ulipwe kidogo kidogo ie $ 40millio year halafu unajisifia?Kama siyo wendawazimu ni nini hicho?Makanikia bado hapo bandarini?Mtambo wa uchenjuaji tayari?Wanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Dogo umechoka kweliWatanzania hawawezi kufaidi hii pesa,
Wataaofaidi ni
Makonda.
Mama janeti
Mbatia
Basi.
Anapalilia kibarua huyo, buku 7 haitolewi hivi hivi mpaka uifanyie kazi.Una kazi ngumu sana wewe
Hiyo $300 nayo inalipwa kwa instalments, makinikia yatasafirishwa kama kawaida, na hakuna habari ya kujenga smelter tena. Halafu baadhi ya watu wanashangilia kama mazuzu!!Ripoti mbili za CAG zinaonyesha 2.7 trillions hazijulikani zilipo. Bunge DHAIFU limenyuti halafu mtu anashangilia kupata $300 millions. Aliyewaroga baadhi ya Watanzania uchawi wake si wa kawaida hata kidogo.
Ujinga kweli mzigo, unafikiri wangeenda MIGA kutafuta nini wakati wanachokitaka wamepata?Lissu alisema tutapelekwa MIGA lakini Mh. Rais Magufuli kwanza amewafulumsha wezi Acacia pia sasa tunafanyakazi na Barrick na wameanza kutulipa pesa yetu bado faida ya madini yetu ya kila mwaka lazima pia tuzipate! Pesa zote zinawekwa hapahapa kwenye Benki zetu. Mungu atupe nini jamaniiii. Heko Rais wetu Magufuli.
Kama umeweza kuongea hivi leo, na Endapo Jambo la MIGA lingewezekana ingekuwaje mkuu!Unasamehe USD 190 billion na kupokea USD 100 million halafu zingine $ 200 million ulipwe kidogo kidogo ie $ 40millio year halafu unajisifia?Kama siyo wendawazimu ni nini hicho?Makanikia bado hapo bandarini?Mtambo wa uchenjuaji tayari?
Kwani hayo mauzo wanafanya Barrick peke yao? Au yanafanyika kama mali ya Twiga gold corp kwa hiyo hata serikali itakuwa inafahamu mchakato mzima.Ni kweli makinikia yaendelea kusafirishwa nje?
Pascal Mayala nimekuwa nikijua wewe ni msomi kumbe ni wale wale.
Barrick wamelipa $100million kati ya $300m waliohaidi kulipa.
$100million imetokana na mauzo ya kwanza ya container 1600 za makinikia zilizokuwa zimezuiwa na serikali.
$200million zilizobaki wamehsidi kulipa ndani ya miaka 5. Yani kila mwaka ni $40mln.
Kupigwa kupo pale pale.
Kama safari moja ya container 1600 wamefanya mauzo nakupata faida ya zaid ya $100million. Jiulize kwa mwaka wanapeleke contsiner ngapi? Na kila mwaka tunaambulia $40m only!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Miongoni mwa wanufaika wa fedha hizo ni MIMIDonge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Je ni nani aliwaleta hawa Barick na mwanae Accacia?Je kabla ya magufuli.. hayo mauzo ya makinikia tulikuwa tunalipwa bei gani?
Magufuli ni jembe.. mbona awamu za 3 na 4 hatukulipwa na makinikia yalikuwa yanasafiri
Na makinikia naona yanaendelea na safari yake ya kwenda ughaibuniWanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Hizo awamu maisha pia yalikuwaje kulinganisha na sasa.Je kabla ya magufuli.. hayo mauzo ya makinikia tulikuwa tunalipwa bei gani?
Magufuli ni jembe.. mbona awamu za 3 na 4 hatukulipwa na makinikia yalikuwa yanasafiri
Hili lisukuma siku hizi linajua kumpiga vijembe mzee kisiasa kukwepa kuitwa DodomaUpo serious kweli na hizi pongezi au unabariki wizi wa raslimali za Taifa
the other good thing is pesa zinaingia kwenye mikono salama. maana kupatikana kwa pesa ni jambo lingine na matumizi ni jambo lingineWanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali