Kwa hukumu ya leo imedhihirisha kuwa CHADEMA ni chama cha amani. Vurugu zote na umwagaji damu unasababishwa na wana SSM na dola ambao ni vibaraka wake. Hebu tujikumbushe yale mazishi ya wanachadema na wasio wanachadema waliokuwa wapita njia kipindi kile arusha, kuwa CHADEMA ilifanya mazishi yale bila hata askari kuwafuata na yalienda kwa amani kuanzia maandamano ya kubeba majeneza hadi viwanja vya unga limited na kumalizika kwa amani. Kumbuka uchaguzi wa URAIS wakati Dr. Slaa alishinda kwa mbali sana na matokeo kuchakachuliwa ya ubunge na udiwani katika majimbo mengi but aliwasishi watanzania wasilte fujo na amani ikawepo. Hata Arumeru mashariki jumapili ni kundi la vijana wa ssm walikuwa wanaleta fujo baada ya kuona vijana wa chadema wanalinda wizi wa kura. But big up msimamizi wa uchaguzi kwa kutenda haki. Ila sijui kama watakupa tena kazi maana uliapa kutenda haki hata baada ya vigogo fulani kutaka utangaze SSM imeshinda wakaaamuliane mahakamani!!!!!!!! Kweli I hate politics. Ndo maana tunaendelea kuwa poor, the poorest!!!