PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Lema kavuliwa ubunge rasmi...
Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!
Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!
Baada ya mahakama ya Arusha kumvua ubunge aliyekuwa mbunge wa Arusha mh Lema, pia mahakama imemwambia sheria inamruhusu kugombea tena bila kipingamizi na ametakiwa kulipa gharama zote za kesi iliyoendeshwa, na LEMA kakubali hukumu na kufurahi kuwa mahakama imemruhusu kugombea na kasema atalipa hizo gharama za kesi.
SOURCE: WANDISHI WA HABARI WA MAGIC FM WALIOKUWA MAHAKAMANI ARUSHA.