Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
CCM hawamuwezi lema wakiru kwenye political field battle ground,Huu ni ukweli usiopingika ccm imechokwa hasa hasa kanda ya kasikazini,OKEY NGOJA TUSUBIRI BY ELECTION
 
Maajabu,hukumu bila mlalamikaji,hukumu bila exbit,sheria hii si sawa, msumeno huu wa ajabu unakata upande mmoja,rushwa ile ya mnairobi ruksa, jamani e solution hapa katiba tu,
 
hapa ndio napishana na gari la u.p.u.p.u...limekosa wateja linaenda kulala.....ha ha ha....hawashwi mtu leo....kudadadeki...
Preta kesho maandamano...si umepata sms eeh?...kama kawa pale NMC, tujadili hatima yetu wanaaArusha na wanademokrasia kwa ujumla!
Usisahau ile laptop yetu ya kazi!
 


By [B said:
MAGAMBA MATATU[/B]] Baada ya mahakama ya Arusha kumvua ubunge aliyekuwa mbunge wa Arusha mh Lema, pia mahakama imemwambia sheria inamruhusu kugombea tena bila kipingamizi na ametakiwa kulipa gharama zote za kesi iliyoendeshwa, na LEMA kakubali hukumu na kufurahi kuwa mahakama imemruhusu kugombea na kasema atalipa hizo gharama za kesi.

SOURCE: WANDISHI WA HABARI WA MAGIC FM WALIOKUWA MAHAKAMANI ARUSHA.




Kwa hiyo hapa Jaji alikwepesha ili Lema asi dai gharama za kuhukumiwa au? Alafu munaiingiza nchi kweny Gharama zingine za uchaguzi kweli hata wewe Jaji Gabriel .R. hukufikilia uchumi wa nchi ukoje kwanza au mkisha jaa kwenye jopo lenu basi munaaamua tuuu kwani hapo kwenye siasa kuana mapungufu gani? walio shitaki kesi ni 3rd Party ambao kwangu mimi ndio walioumia sana na batilda kwani kulitumika pesa nyingi sana ambazo walimuingiza mkenge yule mama sasa wamezihakikisha zile pesa hazikulika bur na sasa zitalika tena kwa aibu ya ajabu kabisa bila kupenda.

 
Huu upuuzi wa mahakama za kitanznaia unashangaza hata Uganda na udicteta wote wa Museveni Uganda lakini majaji wa kule wako huru!!! Si hapa Tanzania majaji wetu wanaendekeza sana njaa na siasa za kijinga kwenye mambo ya maana!
 
KWELI mahakama zetu ni butu....huyo jaji alisoma wapi? au ndio wale wanapewa ujaji kishkaji?
 
Kuna mtu aliniambia juzi kwamba mapambano yanaazia arusha nikasema haiwezekani, itakua Mbeya au Mwanza.... i was wrong; Arusha ina joto jingine kabisa

Na ni hatari mno kwa jumuiya kama CCm wataendelea kucheza siasa za mwigulu na lowassa
 
Wakuu tetesi ni kwamba hilo jimbo litakuwa open kwa mda usiojulikana,na wanataka wa make sure wamemuweka Lema nje ya siasi kwa mda mrefu zaidi hata akirudi tena asiwe na nguvu tena ya siasi kama sasa hivi,na wanajisifia wamefanya hivyo kwa makusudi kumpa chance ya yeye kugombea tena ila wakishaona chadema wamempa tena agombee kuna vipingamizi watatoa,so wakuu wa Chadema chezeni part yenu vizuri sana hawa CCM wanaleta ujinga hapa......

Nafikiria hivyo pia. Sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho. Either walalamikaji watakata rufaa kuomba Lema asigombee tena kama njia ya ku-delay uchaguzi. Au Wanaweza kumwacha Lema agombee tena halafu CCM watoe pingamizi. Au wanaweza kuchelewesha uchaguzi kwa njia yoyote ile.

CCM ni chama cha wahuni,wajinga,mazezeta,mafisadi na majambazi waliokubuhu.
Hayo yote yanawezekana maana wao ndiyo wameshika makali. Wanaweza kuchelewesha Uchaguzi kwa kudai kuwa hawana fedha za kuendeshea Uchaguzi mdogo wa Jimbo hili au wakaweka pingamizi pindi Lema atakapoamua kugombea tena. Ilimradi tu ni hujuma za kutaka kumkomoa Lema na CHADEMA.

Mpaka sasa kuna kesi nyingi tu za kupinga Ubunge wa Wabunge wa CDM sehemu mbalimbali nchini na inaelekea kuwa Mahakama zimepewa maelekezo maalumu na Serikali ya Magamba kutengua Ubunge wowote wa CHADEMA ulioko Mahakamani! Yote hii ni kujaribu kupunguza idadi ya Wabunge wa CDM Bungeni na hivyo kutaka kudhoofisha nguvu ya CDM ndani na nje ya Bunge. Huo ndo mpango kamili.

CDM lazima ichukue hatua za kimkakati kuzuia ujinga huu.Vinginevo mpaka 2015 Wabunge wa CDM wanaweza kuwa wamepunguzwa zaidi ya nusu na hakutakuwa na kurudia Chaguzi hizo kwa kisingizio cha ukata wa Serikali which is not true. Wanaweza kuruhusu chaguzi kurudiwa pale tu ambapo wana uhakika wa KUSHINDA KWA KUIBA KURA na si vinginevo.

Ni mawazo mazuri.

Lakini mtazamo kama huu wa kukiona CCM kama vile ni chama chenye mbinu nyingi, chenye "uwezo wa kipekee", chenye makali n.k., kiasi kwamba tunakiwa tunakiogopa, siyo mzuri. Halafu kibaya zaidi, kama tunafahamu hivyo, nini tunafanya? Je, tunaendelea kukubaliana na hali hiyo? Hivi mbona tunasahau kwamba sisi ndiyo wenye nchi!?! Inasikitisha kwa kweli.

Sidhani kama ni mtazamo chanya sana, kama sisi ambao "angalau" tuna mwanga mwanga kiasi, tunawaza hivyo, je wale ambao bado wako gizani kabisa, si wanakiona CCM kama mungu-chama!!

Kwa hali ya sasa CCM haina ujanja wowote, zaidi ya kutumia "uwoga" wa watanzania wengi, kama inavyojidhihirisha hapa JF mara kadhaa.
 
Hakuna haja ya rufaa, rufaa itachukua muda mrefu kama ilivyochukua hii kesi. Turudi kwenye kura, jaji mkuu (Umma wa Arusha) atamua bila kuogopa chama tawala.
 
Lema akate rufaa kwa wananchi!
CCM haiwezi kwa vyovyote kushnda arusha mjini!
Tukisema akate rufaa still akishnda atakuwa mbunge,lakini tukirud kwenye uchaguzi itakuwa fundisho kwa magamba kuibua kesi za kijinga na mahakama kutumika kisiasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom