UMBWE1
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 789
- 759
hayo ni maneno ya losers...
CDM inatia huruma sana, juz tu mmeshangilia kuongeza mbunge, leo tena mnaomboleza kumpoteza mwingine!!!Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai!!
Aha aha kumbe uko hai,mara zote uhai wako unategemea habari mbaya za aadui yako,unapigana vita kwa hila na kinyongo,kila saa unajiuliza why not u,kumbuka tunapigania nchi yetu na sio jamii fulan peke yake,change ur attitude,heshimu kitu ambacho wezanko wameshakifanya and join them