KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Baada ya kuenguliwa ubunge wa Arusha,sasa bwana GODLESS LEMA anakabiliwa na pigo lingine kubwa ambalo wadadisi wa mambo wanaamini linaweza likamfanya ashindwe kutetea kiti chake na hivyo kushindwa kuingia bungeni! PIGO hilo linahusiana na yeye kuwaambia WANAARUSHA tangu achaguliwe miaka miwili iliyopita ameshawafanyia nini wanaARUSHA mpaka sasa? LEMA amekuwa akihaha huku na huko,kushiriki maandamano yasiyo na TIJA baada ya kujikita katika kuleta maendeleo na kutimiza ahadi, inadaiwa mpaka sasa lema hajafanya chochote arusha, utalii umeshuka kutokana na maandamano yake ya mara kwa mara,hili kwa kweli ni PIGO SANA KWAKE NA CHAMA KWA UJUMLA!
MYTAKE: KAMA CHADEMA WANAWEZA WAMSIMAMISHE MTU MWINGINE ARUSHA
Viroba na bangi za chooni zinashida sana.Hata mumfufue sheikh yahaya jimbo la Arusha mjini aliwezi rudi CCM.hayo uliyo yaeleza hapo juu ni mawazo yako binafsi na wanachama wa CCM ambao kura zao hazikumuwezesha mgombea wenu kuwa mbunge.
Tupa kule......