Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Wanachokitafuta CCM ni kibaya
cna. Na kwa stail hii hatutafika.
Mbona hii serikali inaongozwa
na watu ambao upeo wao wa
kufikiri ni mdogo...??? hawaoni
kuwa huko ni kupoteza muda na pesa za walipa kodi wa nchi
hii ambao ni maskini wa
kutupwa??Wanawapa
CHADEMA another chance ya
kupata credibility kuelekea
2015. M4C Inaendelea ku rise.
 
Jamani wanajamii kunatetesi kuwa kamanda wetu ana kesi ingine ya kufoji vyeti uchaguzi uliopita..hili ni kweli wana JF? Na kama ni kweli je akigombea hatawekewa pingamizi na stupid magamba?
 
Natoa tamko kwa wanachadema wenzangu chondechonde tunza ile Card yako uliyojiandikisha ili uchaguzi utakaofuata tukafanye kweli! Na kama Lema hataletewa mizengwe ya kugombea tena basi tunataka na Batilda naye asimame na Lema tena ndipo tujue mivu na mbichi ni zipi.
 
Nawashauri sisiem wasilete timu uwanjani, tuwachapa kinoma, alafu hiyo pr yetu itakuwa juu balaa!

CHADEMA arusha tuanze kujipanga ili kuizika rasmi CCM Arusha kwa kuanzia kuhamasishana mashinani na kujiandaa kwa maangamizi ya CCM na mabaki yake hapa Arusha. This time hata ambao hawakupiga kura last time watatoka kwa kupiga kura za hasira. Naanza kwenye kata yangu na tunaeneza sumu kata zooote.
 
makamanda msiwe na shaka uchaguzi ukirudiwa magamba watachemsha tena, huu ni wakati wa ukombozi lazima tujaribiwe, vita tutashinda
 
Acha unafiki weee Calculator, usiwe kubwa jinga,najua unakaaa pale Kaloleni na kahawa zako, Lema ameruhusiwa tena kugombea.
 
Hii ni zawadi ya pasaka kwa wana-Arusha.
Kwa wana Arusha ni kama vile wamepewa likizo ya muda mfupi lkn likizo ikiisha wataibukia mulemule kwenye M4C labda viwekwe vikwazo vingine:
Zawadi labda itatolewa kwa wana SEGEREA.
 
watu wamekusanyika kwenye ofisi za chama wansubiri hotuba ya mbunge mtenguliwa na mahaka Bw. G. Lema watu wanaongea hapa kuwa wako tayari kwa lolote wanasubiri oda ya Bw. Lema tusibiri
 
Pole kwa chadema!!!!! Mimi si mwanachadema wala chama chochote lakini nadhani hapana shaka chadema watalirudisha jimbo lao,,,,,,,,wanakubalika sanaaa arusha nimeishi kule naona joto la kisiasa,,,, watu wa arusha huwaambii kitu zaidi ya people's power. Kikubwa wajipange, watafakari ni mgombea gani mzuri wanaweza muweka which i do not doubt maana wana stock ya kutosha. Mzee ndesamburo na timu yake waanza leo mchakato naamini ushindi ni wa chadema bado. Chama tawala kitadhalilika kwa mara nyingine hata kikisimamisha mgombea mchaga kuwazuga wananchi.

Haya tusubiri chaguzi zijazo maana tundu lissu, john mnyika nao wamekalia kuti kavu kwenye kesi zao,,,

Nelia mimi sikai Arusha niienda siku kule maeneo ya SIDO vijana wakaniambia pale Arusha wanapenda hip hop na Chadema.
 
naöna hao ccm wamechanganyikiwa ata tukiweka mgomba tutashinda mbaya zaidi uwezi kushindana na nguvu ya uma tuatishinda tena kwa kishind6
 
Mhe Lema amevuliwa Ubunge kwa sababu tu ya ujasiri wake kiasi cha kutanguliwa jela kabla ya kukamatwa.
Nawamba wapiganaji wote kambi iliyokuwa Arumeru kuhamia Arusha mjini kuhakikisha kwamba Lema anarejeshwa Bungeni kwa mara ya pili.Ikumbukwe kwamba Lema ndiye aliyejitoa kwa gharama ya kifo kulinda kura za Nassary zisiibiwe!!


Leo hii Serikali inayoshindwa kulipa mishahara ya vyombo vya dola na Madaktari wameamua kutapanya mali kwa kutengua ubunge ambao utagharimu zaidi ya 20billions mbali na rushwa ambazo watu binafsi kama Lowassa watatoa rushwa.

Mtakumbuka kuwa Yusufu makamba alisha toa order kuwa wabunge wake nchi nzima wawafungulie kesi wabunge wa upinzani ili waenguliwe na sasa zipo kesi zaidi ya 40 nchi nzima ambaozo gharama ya kuizindeshe ni kubwa na kutengua kutaleta hasara ya zaidi ya 500billis.
Wakati hayo yakiendelea kesi zote za EPA zinazowausu Makada wa CCM zimewekwa kando , sasa dawa ni Moja , arumeru wameonyesha Njia!!!
 
Watanzania tunaendelea kujifunza juu ya Demokrasia ya vyama vingi, hakuna haja ya kusikitika tunatakiwa kujipanga katika chaguzi zetu ili tusifanye makosa yatakayoweza kugharimu ushindi wetu siku zijazo!
 
Sasa ni zamu ya CCM kujidai lazima tuchukue Arusha mjini Chadema ndio hivyo mshapoteaaaaaa.....
 
Hivi hakuna vifungu vya sheria vitakavyomzuia Lema kugombea tena? hebu wajuzi wa sheria tujuzeni hapa
 
Lema tutakumiss vibweka vyako mjengoni hasa;
1. FUNGENI MLANGO TUCHAPANE
2. Chako ni chako
 
Mkuu PakaJimmy,

Nilijua Lema atapigwa chini ushahidi wa wanaCCM ulikuwa mzito sana sijui kama ataruhusiwa kugombea walioko mahakamani tafadhali mtujuze kinachoendelea.

Ngongo,kosa pekee la kumzuia Lema ni kutoa Rushwa kwenye, ambalo CCM wanalifanya kila uchaguzi. CCM na Dr Baltida mwenyewe walihonga sana tukawapiga chini.
Najua wewe humuungi Lema mkono lkn bado tutamchagua tena.
AZIMIO JIPYA LA ARUSHA: ONDOA CCM TANZANIA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom