ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Sooooooo saaaaaaaaaaaaaaad
Kweli mkuu umesema kweli! Lema apewe majukumu mengine ya kukiimarisha chama na asijihusishe kabisa na kugombea tena nafasi hiyo.Angalisho liwekwe, maana kama kesi ilikuwa hivyo na hukumu ikawa hivyo, basi kuna mkakati mkubwa sana wa serikali na chama chake (CCM) wa kulitaka jimbo hilo la arusha kwa gharama yoyote
Chadema wawe makini sana na Kumsimamisha Lema, kama mahakama imesema Lema anaweza kugombea basi hapo kuna agenda ya siri inawekwa ili bwana Lema atakapotia jina tu basi Pingamizi litawekwa na kwa Mizengwe waliyoipanga ni lazima pingamizi litapita tu
kwa Mwenendo wa hukumu nzima Chadema inawapasa wawe makini mno, maana sasa wanashindana na nguvu kubwa zaidi
ni mtazamo tu
Yaelekea kimekuuma sana,,,,,pole sana, tunataka Tanzania inayoendeshwa kwa misingi mizuri. Kwa personal attack aliyoifanya Lema dhidi ya mpinzani wake hakustahili kabisa kuliwakilisha jimbo lenye hadhi kama Arusha mjini bungeniBora hao wanasimamia wanachokiamini kuliko hawa.
Wa nini sasa watu wamesoma na upeo mkubwa afu wanafanya mabaya zaidi kuliko hata wale ambao hawajasoma?
Pole kwa chadema!!!!! Mimi si mwanachadema wala chama chochote lakini nadhani hapana shaka chadema watalirudisha jimbo lao,,,,,,,,wanakubalika sanaaa arusha nimeishi kule naona joto la kisiasa,,,, watu wa arusha huwaambii kitu zaidi ya people's power. Kikubwa wajipange, watafakari ni mgombea gani mzuri wanaweza muweka which i do not doubt maana wana stock ya kutosha. Mzee ndesamburo na timu yake waanza leo mchakato naamini ushindi ni wa chadema bado. Chama tawala kitadhalilika kwa mara nyingine hata kikisimamisha mgombea mchaga kuwazuga wananchi.
Haya tusubiri chaguzi zijazo maana tundu lissu, john mnyika nao wamekalia kuti kavu kwenye kesi zao,,,
magamba wameamua kutumia mahakama kupunguza nguvu ya upinzani bungeni haina shaka ngoja tusubiri uchaguzi lazima wagalagazwe kama arumeru
Dhulma hee!
Yani mtu aliyekushinda kwa kura zaidi 30,000 amekudhulumu??? dead mind