ni kweli mkuu...vyombo vingi vya habari hapa Arusha vinatangaza.......
Wanapoteza muda na ilo zao tu,hapo hata akisimamishwa nani na cdm lazima ashinde!je Lema anaruhusiwa kugombea tena?hakuna haja ya kukata rufaha turudini kwenye uchaguzi!
Sasa ni zamu ya CCM kujidai lazima tuchukue Arusha mjini Chadema ndio hivyo mshapoteaaaaaa.....
Wanasema sikio la kufa halisikii dawa. Lakini hizi chaguzi ndogo zikiendelea mpaka 2015 zitatuimaisha CDM na kutuweka pamoja zaidi na hivo kutufanya tushinde uchaguzi mkuu kilaini. Mungu ibariki CDM Mungu ibariki Tanzania.CCM ingejua chaguzi ndogo ni kaburi lao ingejitahidi kuziepuka lakini ndio hivyo tena..
Yaelekea kimekuuma sana,,,,,pole sana, tunataka Tanzania inayoendeshwa kwa misingi mizuri. Kwa personal attack aliyoifanya Lema dhidi ya mpinzani wake hakustahili kabisa kuliwakilisha jimbo lenye hadhi kama Arusha mjini bungeni
KINANA Ndo anasimamishwa kugombea CCM Arusha ...issue imeanzia mbali its well planned