Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Bado kuna 'ushindi' katikati ya 'kushindwa' kesi. Aluta continua..... viva Arusha, viva Chadema, viva Lema
 
Wanasheria mtujuze basi kama ataruhusiwa kugombea tena, sisi wengine ni watu wa IT hatuelewi sheria inasemaje hapo. Ni nafasi nzuri ya chadema kujenga jina kwa taifa kwa ujumla. maana wakichukua Arusha then Segerea mambo saaaafiiiiiii tunakuwa tumebadili upepo wa kisiasa.
 
Wakuu, ilivyo ni kwamba ccm watafanya kila mbinu ili Lema asirudi kugombea tena!
Atateuliwa mgombea mwingine wa cdm, ambaye ataghilibiwa kwa fedha, na ataamua kujitoa katikati ya mchakato, na hivyo kuipa ccm nafasi ya kuibuka!
hayo ni maneno ya losers...
CDM inatia huruma sana, juz tu mmeshangilia kuongeza mbunge, leo tena mnaomboleza kumpoteza mwingine!!!Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai!!
 
Every actions of CCM nowdays are a catalyst for their own downfall.The election will be held again,they have nothing to say to people,they will lose again and continue pointing fingers to each other.And the thing is their first failure is in appointing who will contest for the post from their team.Well done CCM we actually wish to see you dying sonner than later
 
Mahakama ndio imetengua mdau..........inasemekana kuna some forgery kwenye vyeti vyake. Sasa tusubiri taarifa zaidi
 
Wakuu najua wengi bado tuna hasira na maamuzi ya mahakama ya kumvua Mh. G. Lema ubunge, hukumu ambayo imejaa mawaa mengi na kuacha sintofahamu nyingi hasa juu ya uhuru wa mahakama!!!!!

Kufuatia uamuzi huo ambao tayari umeshatolewa suala la msingi ni NINI KIFANYIKE?

Nawakilisha maana najua wapo viongozi na wadau wa CDM ambapo wanapita hapa wanaweza kujua nini mawazo ya watanzania.
 
Lema amepigwa chini.... Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali

Hakuna haja ya ku-appeal,turudi uwanjani tena.CCM hawana mtu makini wa kusimama ARS, wakimrudisha Dk Buriani hoja itakuwa kuwa wanamtafutia Ubunge kwa nguvu,wakimleta mwingine hoja ni kuwa wanaiogopa CDM ndo maana wanabadilisha mgombea.
CCM Ars N hata waje na ndege za kivita MIG na Jet.
AZIMIO JIPYA LA ARUSHA:ONDOA CCM TANZANIA
 
Nafasi ya Lema kushinda sasa hivi ni kubwa kuliko aliyokuwa nayo wakati wa uchaguzi mkuu
 
Napenda kuwapa pole Mh Lema na makamanda wote hapo A town lakini kwa kuwa sisi tuna mungu tujipange upya kuweza kulirudisha jimbo maadamu hawakukupiga stop kugombea mungu yu pamoja nasi tutashinda tu.
 
tunakula ccm, tunalala chadema~~mwisho wa ccm unakaribia...Tazameni
 
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu
We Job Lusinde nini? Maana mwenzio alisema yeye ni kichaa wa kuzaliwa sijui kama na wewe ni hivohivo.
 
Legal point of View: Anayo haki ya kukata rufaa kisheria na anaweza kushinda. Yote yanawezekana!

Akikata rufaa ccm watapiga danadana mpaka 2015 ndio hukumu itatoka na haitokuwa tofauti na hukumu ya leo. Dawa hapa ni kupeleka mashauri yote mbele ya mahakama ya wana-Arusha. Uchaguzi July.
 
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu

Kwa hiyo unachofurahia ni kuvuliwa ubunge au ni CCM kuchukua jimbo? utakuwa huna akili kama huna hakika na outcome ya Lema kuvuliwa ubunge. Roho ya kwa nini na tukose wote ndo uliyo nayo wewe ila elewa tutachagua hata kuku kuliko CCM kuongoza Arusha na tutaanzisha operesheni zomeazomea wakati wa kampeni mpaka mkose pumzi ya kupiga kampeni
 
Movement for change ilianzia arusha,itafanya kazi arusha !! Arusha tutashinda kwa nguvu kuliko Arumeru
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom