Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
zile salamu za pongezi za ushindi kutoka kwa nape,jk na pinda zilikuwa na kusudi la kupalilia mazingira ya hukumu ya leo. lakini lengo la magamba si kushinda arusha bali ni kupoteza muda, kudivert focus ya viongozi wa chadema kwenye masuala ya msingi yanayohusu mustakabali wa taifa. na kikubwa zaidi ni kukifilisi chama
 
Lema na wapenda haki someni hapa: Biblia ( Isaya 41:10). Nguvu ya Mungu iko kila mahala tutashinda tu.
 
Amevuliwa but yuko huru kugombea tena? Hope km ataruhusiwa kugombea atashinda tu. Arusha is for changes. Peoplessss
 
hivi nchi yetu inajua gharama za kurudia uchaguzi ni pesa za walipa kodi.....sasa lusinde naye apewe adhabu gani kwa matusi yake???? ARUSHA PAMENUKA!!!! TAYARI...KWA ARUSHA CCM HATA WAFANYAJE HAWATASHINDA
 
CHAMA CHA MATUSI(CCM) wametwanga maji kwenye kinu, yaani kwa arusha CDM wakisimamisha jiwe la mtoni watu watalichagua kuliko kuchagua mCCM awe mbunge wao.Pipozzzzzzzzzzzzzzzz powerrrrrrrrrrrrrrrrr.
 
mahakama Imesema analuhusiwa kugombea tena,kamanda LEMA amewasii wanachama na wapenzi wa chadema kuwa watulivu....wadau tunapaswa kujadili kuhusu uhuru wa mahakama ktk kufanya maamuzi! pia tujikumbushe maneno ya NAPE kuwa kesi yaarusha tunashinda au ndiyo yalikuwa maelekezo ya mwenyekiti wa ccm taifa!kwaarusha hamna pakutokea wana ccm jiandaeni aibu nyingine kwani mungu huwa pamoja na wanaoonewa.
 
Duh noma sana! Mbona hapakuwa na ushahidi? je anaruhusiwa kugombea?

nadhani anaruhusiwa kugombea

inasemekana CDM hawataka rufaa,wanawasubiria uwanjani,kweli jamaa wanajiamini

kwa mfano sasa NEC ikasema haina pesa ya uchaguzi je mshindi wa pili atapewa nafasi hiyo?
 
Hakuna cha kupoteza kwa CDM.... Kwa hilo umaarufu wetu unazidi kuongezeka mara dufu! Hatuta kata rufaa wala kuilaumu mahakama bali tutaishitaki kwa wananchi siku ya uchaguzi mapema mwezi June 2012.
Nawaomba wananchi wakae kwa utulivu na wajiandae kwa ukombozi rasmi wa jimbo la Arusha mjini haki haipokonyi bali hucheleweshwa!
Mungu ibariki CDM!

May God bless Lema!
Amen.
 
Lema aliposema Batilda ana mimba ya Lowassa alitakiwa mama huyu aje mahakamani akatae au kukubali mimba hiyo!Mama Batilda alikuwa shahidi muhimu sana kwenye kesi hii!

Alitakiwa na nani?
 
Pole kwa chadema!!!!! Mimi si mwanachadema wala chama chochote lakini nadhani hapana shaka chadema watalirudisha jimbo lao,,,,,,,,wanakubalika sanaaa arusha nimeishi kule naona joto la kisiasa,,,, watu wa arusha huwaambii kitu zaidi ya people's power. Kikubwa wajipange, watafakari ni mgombea gani mzuri wanaweza muweka which i do not doubt maana wana stock ya kutosha. Mzee ndesamburo na timu yake waanza leo mchakato naamini ushindi ni wa chadema bado. Chama tawala kitadhalilika kwa mara nyingine hata kikisimamisha mgombea mchaga kuwazuga wananchi.

Haya tusubiri chaguzi zijazo maana tundu lissu, john mnyika nao wamekalia kuti kavu kwenye kesi zao,,,
 
Kwanini majimbo ambayo cdm wanadai walishinda na wakapeleka malalamiko yao mahakamani hazijatolewa hukumu bali wanazivutia muda mbele ili kipindi hiki cha miaka mitano kipite? ccm mnapoitumia mahakama kisiasa mwe makini 7bu nguvu ya umma hamtaiweza kuihujumu
 
sio habari nzuri kwa wapenda mabadiliko kwni magamba ndio imekuwa bible au masahafu aaaah bwanaeeeh sasa ndio
mtajua kama CDM Kiboko ya njia. peopleeeeeeeeeeee. duh sijui hata kiinglishi lakinni nasema hivi, This is only way peopleeees can prove wrong ........... ideots magamba nawasilisha
 
Mkuu PakaJimmy,

Nilijua Lema atapigwa chini ushahidi wa wanaCCM ulikuwa mzito sana sijui kama ataruhusiwa kugombea walioko mahakamani tafadhali mtujuze kinachoendelea.
hakuna uzito wowote ni hila tu, mi nilijua tu coz yule mama alipo pelekwa nairobi ili awe karibu na arusha aweze kupata update ki rahisi ila itakula kwao tu:nono:
 
CCM hata wakitumia pesa nyingi namna gani, Uma ukiamua hakuna wa kuwazuia, Muda mwingine tena kwa CDM kuchukua jimbo la arusha mjini. Peoplesssssssssssss Power
 
:nono: :nono:Kama hoja ya msingi ni kwamba Lema alihongwa kisha akawa mshindi wa ubunge au ikawaje? Hapa mie napata shida kuelewa. Alihongwa ili? PakaJimmy tutaomba ufafanuzi tafadhali
 
Hata asimame mkapa na kikwete kwa ujumla wao na lema sipige kampeni bado atashinda!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom