Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Legal point of View: Anayo haki ya kukata rufaa kisheria na anaweza kushinda. Yote yanawezekana!
 
Kazi bure hyo tena, inabidi ktk hili ccm wasome alama za nyakati, uchaguzi utarudiwa na watashindwa vbaya kwa jinsi navyoielewa Arusha na hapo ndipo watakapojishushia credibility yao mbele watz.
 
Kaka mkubwa A-town apigwa zengwe na wenye mahakamana Mamlaka ya juu
 
Hii ni baada ya Mbunge wa Arusha Mh. Godbless Lema kuvuliwa ubunge. Breaking News ndio hiyo kama mahakama ilivyokwisha aumua!
 
Kuvuliwa kwa Lema kuna maana hizi;

Kwanza, CCM wanataka kupima kama mbinu za kifedha, uwizi wa kura, vitisho vya magari ya FFU na Polisi zaweza kufanaya for 5 years more.

Pili, CHADEMA wanapewa nafasi ya kupima nguvu ya CCM na uwezekano wa kushinda 2015 majimbo zaidi

Tatu, Umaarufu wa CHADEMA unaongezeka kwa sababu badala ya serikali kutumia fedha nyingi kuhudumia watu na wananchi wanaka muda mwingi kuelekeza fedha kwenye kampeni za siasa.

Nne, Lema na wengine wasiotumia meneno yenye staha na zinazoweza kuhesabiwa kama ni defamation wasirudie iliwasiwape nafasi CCM na maadui wao nafasi ya kuwapotezea muda mwingi.

NAWASILISHA
 
Nguvu ya maskini ni mtaji wake. Kila kaya, kila duka, kila gari, yoyo etc huko Arusha pandisheni bendera ya CHADEMA. Kila mtu kwa nafasi yake apambane na nguvu ya pesa inayomaliza hii nchi. Mahakama, polisi vimekuwa ndio nguzo kuu ya ccm, sasa wananchi wa Arusha komesheni hii harusi ya ccm na vyombo vya dola. .
 
Sheria iko duniani hali iko mbinguni, aibu!aibu! Aibu! Mahakama kujikomba kwa serikali, mlitegemea nini jaji mkuu na mkuu wa usalama wa taifa ni mtu na mdogo wake na wote wameteuliwa na rais! Kwa hiyo kikwete kakaa na jaji mkuu na mkuu wa usalama wa taifa, kamwagiza jaji mkuu ampe maagizo jaji wa arusha kufanya huo upuuzi, naye bila kulinda taaluma yake anaamua kuwa mpuuzi. Nchi ya ajabu, mawaziri wanawaamuru wataalamu nao kimyaaaaa! Bila katiba mpya hakuna haja ya kuingia kwenye uchaguzi mwingine. Hawa wateule wakishateuliwa na sisi watawajibika kwetu na si kwa mtummoja mwenye .......
 
...soon Lema atabambikiwa kesi ya ujambazi au mauaji....shame to the rotten system!!
 
Mahakaya kuu ya Arusha leo asubuhi imetoa huku yake juu ya kesi iliyokuwa ikimhusisha Mh. Lema ( Arusha mjini) kuwa si Mbunge tan baada ya upande wa walalamikaji kushinda shauri hilo!
 
Nadhani sheria imechukuwa mkondo wake, Jaji wa kwanza Lema alimkataa alikuwa hana imani nae Jaji wa pili katenda haki.

Wewe umelogwa milele huna akili hata punje subri kichapo,lazma yakutokee puani, umesahau juzi juz pale Arumeru mash.Uliugua ukalazwa I.C.U kwa hapa Arusha lazima upelekwe apollo india ukafie huko,na hili jimbo bado ni la chadema na magamba mnajichosha bure mnajimaliza wenyewe!.Kaa kimya!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom