mvunjamiwa
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 453
- 117
Legal point of View: Anayo haki ya kukata rufaa kisheria na anaweza kushinda. Yote yanawezekana!
hatimae dhulma haidúmu na haki imetendeka
hatimae dhulma haidúmu na haki imetendeka
Lema kavulia ubunge rasmi...
Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!
Nadhani sheria imechukuwa mkondo wake, Jaji wa kwanza Lema alimkataa alikuwa hana imani nae Jaji wa pili katenda haki.