Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Hivi hatuwezi binafsisha mahalama?? Bora turudi kwenye mabaraza ya asili.
Mtuhumiwa anatambuliwa kwa kuku kuwika mara saba.

Aibu kwa mahakama, aibu kwa wanasheria.

mabaraza ya asili ndio itakuwa tena mambo ya washili kule meru au umesahau?
 
Wacha Urudiwe na hata kama wakikataa asisimame Lema,atakayewekwa Mwingine wa CHADEMA atashinda tuu. Watu wana mwamko na uelewa si zama za kale za CCM kudanganya mchana kweupe!!!!! Wanapoteza pesa zao bure watahonga lakini CHadema ITAPITA. chadema JUU JUU zaidi. Ndo inazidi kupata umaarufu!!!
 
CCM mmefanikiwa hujuma yenu kwa 100%, hongereni! Naomba niwaulize wana CCM, kati ya hawa makada wenu mtamleta nani kuja kufungua Kampeni hapa A-town:
  1. Livingstone Lusinde?
  2. Wasira?
  3. Mkwe wa Nimeoa?
  4. Anko Ben?
Nini matusi hata mlete DVD ya matusi mliyorekodi studio hatudanganyiki, wembe ni ule ule maskini tutamchagua maskini mwenzetu. PEOPLEEEEEES' POWEEEEEER SHALL PREVAIL.......
 
Naungana na mh. lema asikate rufaa ya nini wakt hukumu ya ukweli tunayo? wawalete watukana matusi tena kama hatujawandia hapo jikwaani na kuwashusha kwa mkong'oto wa kutosha!9
 
sio habari nzuri kwa wapenda mabadiliko kwni magamba ndio imekuwa bible au masahafu aaaah bwanaeeeh sasa ndio
mtajua kama CDM Kiboko ya njia. peopleeeeeeeeeeee. duh sijui hata kiinglishi lakinni nasema hivi, This is only way peopleeees can prove wrong ........... ideots magamba nawasilisha
 
Wakuu, ilivyo ni kwamba ccm watafanya kila mbinu ili Lema asirudi kugombea tena!
Atateuliwa mgombea mwingine wa cdm, ambaye ataghilibiwa kwa fedha, na ataamua kujitoa katikati ya mchakato, na hivyo kuipa ccm nafasi ya kuibuka!
 
Mateso ya wenye haki ni mengi.cdm tushangilie,Lema usikate tamaa jipe moyo,tuko pamoja mafisadi hawaja shinda,m4c viva
 
KINANA Ndo anasimamishwa kugombea CCM Arusha ...issue imeanzia mbali its well planned
 
Kwa wapenda maendeleo na wapinga Ufisadi na Rushwa tuliyagemea hayo katika hukumu ya Mpendwa wetu G.Lemma kwani kikosi cha Ufisadi kinafanya kazi yake Usiku na Mchana mifano mbona ni mingi tu ona toka kwa Harrison Mwakyembe..... tusivunjike moyo hizo ndio gharama za siasa tujipange upya kwani tutazidi kupata umaarufu.
 
Hivi hatuwezi binafsisha mahalama?? Bora turudi kwenye mabaraza ya asili.
Mtuhumiwa anatambuliwa kwa kuku kuwika mara saba.

Aibu kwa mahakama, aibu kwa wanasheria.
we nawe ndio umeongea nini hapa? nenda chit chat
 
Ata kama Lema amepigwa chini jimbo ni la Nguvu ya Ummaaaaaa!!!!!!
CCM wamweke ata Lowasa Lema jimbo ni lake.
 
CCM hamtaweza kamwe kushindana na nguvu ya umma,nashukuru Mungu analeta matukio kama haya ili iwe ishara kwa wote ni jinsi gani CCM na serikali yake ambavyo hawafai.
Taarifa za Lema kuvuliwa ubunge zilikuwepo na kuthibitisha hilo,siku ya leo imekua ni uthibitisho tu.
 
Sema CCM hawasomi alama za nyakati.
Ila CDM hata ikisimamisha jiwe, kwa Arusha litapita.

Kwani Buriani ni nani ndani ya CCM? Mbona ana power sana?

Kuna jamaa ananiambia kumetengwa bilioni 1o kwaajili ya jimbo hili, ili cdm izikwe!
Zitatumika vipi sijui!
 
Magamba watazidi kuaibika mwaka huu, hilo jimbo la Arusha mjini CDM tutalichukua kiulani kama Arumeru Mashariki.
 
Shahidi Mkuu ni Batilda kivipi?

Batilda hawezi kuwa shahidi mkuu kwa sababu hana kawaida ya kuhudhuria mikutano ya Lema, kwa hiyo hana uhakika na alichokisema Lema katika mikutano yake ya kampeni

Lema aliposema Batilda ana mimba ya Lowassa alitakiwa mama huyu aje mahakamani akatae au kukubali mimba hiyo!Mama Batilda alikuwa shahidi muhimu sana kwenye kesi hii!Pia kuhusu matusi mengine mahakama ime amini maneno ya washtaki bila kuyathibitisha kwa kuyaona au kuyasikia?Je CCM walishindwa kum-target Lema wamrekodi akitamka maneno haya wanayodai alikuwa anayasema kwenye mikutano mingi tu?

Mbona matusi ya Lusinde yapo hewani kila mahali?Wapi matusi ya Mbunge Lema mahakama imeyashuhudia?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom