Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Huo sio mwishowa kesi. Anaweza kukata rufaa na akashinda kama anahisi hajatendewa haki. Legal point of view!
 
Sikio la kufa halisikii dawa hivi aliyewaloga ccm ni nani? Haibu watakayoipata arusha ccm hawataisahau.PEOPLE'S POWARRRRR
 
Demokrasia inakata nyuma na mbele; majuzi mlichanua meno yote 32, leo mwalia; hamna uhakika na uchaguzi mdogo; CCM atasimama mbunge wa zamani
 
Nilisikia kama Hakimu alipewa kitita cha kutosha ili kutoa hukumu ya aina hiyo. Tatizo la mahakimu na polisi wetu huwa hawaoni aibu hata kidogo kupindisha sheria ilimradi waweze kulinda maslahi ya CCM. Sasa mtashangaa hukumu ya jimbo la segerea hapo Miltoni mahanga atakapoonekana hana hatia.


Kweli kabisa ndugu yangu hata ukiwa hujaenda shule unaeza kuongoza
 
Kama ni kweli haki imetendeka mi sina shida, ila kama ni mchezo mchafu itakua Ngumu Lema kurudi maana lazima huu mchakato una plan A, B and C kwa hiyo CDM wajipange nao kua na plan A , B na C la sivyo itabki kua historia tu
Kuna jamaa ananiambia kumetengwa bilioni 1o kwaajili ya jimbo hili, ili cdm izikwe!
Zitatumika vipi sijui!
 
Hali ya mji wa arusha imechafuka watu wanamtaka mbunge wao.hii hela inajotumika kutuliza machafuko si ingelisha yatima na wajane
 
Nimeipenda hukumu!
Wana Arusha wanataka maendeleo siyo maandamano!
 
Wana jf lema kavuliwa ubunge . Ila anaruhusiwa kugombea tena hivyo tumwite mbunge mteule kwani ccm hawana chao tena.

Kama hajazuiliwa kugombea, Basi naomba CHADEMA wasihangaike kukata rufaa maana kesi itapigwa kalenda mpaka 2015. Tukumbuke somo tulilopata wakati mbunge mmoja wa TLP alivyokata rufaa Huko mkoani Kagera jinsi rufaa ilivyovutwa mpaka alipofariki bila hukumu kutolewa.
 
ok,ccm wanatumia mahakama kuua upinzani.tunajipanga tena na kugombea jimbo letu.
 
Hawa jamaa wanataka tu kufanya Arusha irudi nyuma na iwenaugumu wa maendeleo kwasababu kule kigoma kwa yule jamaa wa NCCR walisema hafai kuvuliwa ubunge hata kama ametemwa na chama kuokoa gharama za uchaguzi vivi hivyo kwa Hamad Rashid inakuwaje kwa Lema ifanyike???? Where is democracy judgement???
 
Taharifa fupi iliyopo kwenye vyombo vya habari, hii inatokana na kuwepo kwa kesi iliyofunguliwa kutokana na uchaguzi wa mwaka 2010 na wapiga kura wapatao watatu.
Ishu nzima baadae (mambo ya uchaguzi yana mambo yake)
 
Hivi hatuwezi binafsisha mahakama?? Bora turudi kwenye mabaraza ya asili.
Mtuhumiwa anatambuliwa kwa kuku kuwika mara saba.

Aibu kwa mahakama, aibu kwa wanasheria.
 
mahakama haijaweka pingamizi lolote kwa Lema kugombea tena na Lema amesema hatakata rufaa
 
tunaomba crashwise uweke hapa vifungu na makosa aliyosoma jaji hapo mahakamani ktk kumtengua ubunge, I mean yepi yalikuwa makosa yake
 
Kama waki mgomea god kugombea tena basi upo mwiba utasimama pengine ikawa slaa, ccm isahau jimbo hilo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom