Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Kwa hali ilivyo, inawezekana kabisa kuwa uchaguzi ukirudiwa hata leo...CHADEMA itashinda Arusha Mjini. lakini, kwamba reasoning inaonyesha Jaji kahongwa, hii siikubali...tena Rwakibarila? Hapana...
 
Haikuwa kesi ya uchaguzi bali ilikuwa kesi ya kashfa maana kisheria huwezi ukathiri matokeo kama umeshindwa kwa zaidi ya kura elfu 20!Haikuwa kesi ya uchaguzi bali ilikuwa kesi ya kashfa kwani mdaiwa aliyetukanwa mama Batilda hakuwahi kufika mahakamani wala Lowassa hakuitwa mahakamani kuthibitisha kama mimba aliyosema Lema sio yake na Batilda hajawahi sema hata leo kama hana mimba au la!

Haikuwa kesi ya uchaguzi kwani washtaki pasipo shaka yeyote ile hawakuwasilisha mahakamani kanda ya DVD au CD inayoonyesha ama Lema au sauti ya Lema itambulike kama ndiye mwenyewe kayatoa maneno haya;mahakama imemtia Lema hatiani kwa ushahidi wa kuambiwa tu bila kuuthibitisha!

Nasisitiza tena hii sio kesi ya uchaguzi lkn mahakama tuzidi kuiheshimu kwa hukumu yake!
 
hayo tuliyajua tangu muday kwani ccm walishasema tayari kwamba uchaguzi arusha utarudiwa so tumejiandaa cdm
 
huu ni msiba wa M4C lakini daima haki haipatikani kirahisi...wao wanapesa sisi tunamungu mapambano bado yanaendelea.!!
 
Judge atoa hukumu nakusema lema si mbunge tena sijui inakuwaje

CCM wanajipalia mkaaaaaa hapo.

Hiyo hukumu haina ushahidi wowote wa kutosha wa kumvua mtu ubunge na wala hakuna haja ya kukata rufaaaaa twendeni kwenye kura tena muone CCM itakavyo hahaha.

Napenda kuwa juza tu kuw nchi yetu inapenda sana Si Ha Sa na kuharibu kodi za wananchi kwani kesi ile mashahidi wote ukisikiliza utetezi wao utashangaaa haujengi hoja kabisa hao ndio majaji wetu nchi hiiiiiii.

Kinacho fanywa hapo ni kupunguza nguvu bungeni wamesaha kuwa nasari ni kichwa kingine ambacho kitawafanya wabunge wengine huko wa CCM kuwa hoi kupita maelezo.

Lema bado anaguvu ya uma kupita waziri yeyote yule aliyoko madarakani na ni wa Chama cha upinzani.

Napenda uliza ilepesa walio mkopesha lema huko bungeni inalipwaje sasa?


 
Haina haja ya kukata rufaa, uchaguzi urudiwe na hapa ndipo ccm itaona cha moto imejipalia mkaa
 
Hapa CCM imecheza karata bila kufikiria. Lengo lilikuwa ni kutengua matokeo ili Lema akate Rufaa halafu kesi ipigwe danadana na wakati huo huo ku-divert attention pale JK ateueatakapoteua watu wa kuilinda CCM kwenye Tume ya katiba.

Big mistake sasa tutakuwa na uchaguzi mwingine July hii ni kwa mujibu wa sheria za uchaguzi, hapo Tume ya CCM haiwezi kuacha jimbo wazi. Ila mimi nimeipenda hii maana ni opportunity nzuri sana ya kutoa elimu ya uraia kupitia uchaguzi. Kwani vyombo vya habari vinatoa elimu kwa kuriport habari za uchaguzi. CCM isidhani kuwa itakuwa rahisi kuchukua jimbo la Arusha mjini.
 
mmmmmh,my worry ni bilions ngapi tena ambazo ni kodi zetu zitatumika kuitisha tena uchaguzi mdogo??ina mana ss kila siku tutakuwa tunafanya chaguziituuuuuuu maendeleo lini??aaah!!nimekasirika sana..
umeona eeeh! Nakuunga mkono, Au kuna mabilion wanataka kuchakachua then tukiuliza waseme yameenda kweny uchaguz ?
 
Ujikwaa unasimama na kujifuta vumbi....na safari iendelee....ila ni muhimu kujfunza sababu ya kujikwaa....
God bless Arusha.
 
Lema kavulia ubunge rasmi...

Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!

Tunaingia tena Kazini kama Arumeru... Watengue kwa wabunge wote CDM lakini watu wataendelea kuwachagua...
 
Ah haya. tutakuwa hatufanyi shughuli za maendeleo kazi uchaguzi. Hii inasaidia mafisadi kuzidi kukwapua maana watu wote wanawaza uchaguzi.
 
Wakimzuia Lema kugombea tunamsimamisha Crashwise au Paka Jimmy...........hata Preta anafaa pia.
 
mbona ya Lema imeenda fasta? tunaomba na ya kigoma mjini ifanywe fasta hivohivo. maana mshindi hakuwa serukamba alikuwa mgombea wa cdm. sasa itakuwaje kisheria maana Batrida tayari ni balozi na yuko kenya? je sheria inamruhusu kuwa balozi na mbunge at the same time?
 
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu

Lema anazidi kuwa maarufu na jimbo bado litaenda CHADEMA. CCM mtapigwa tena na mtazidi kushuka chati. Ingefaa uoomboleze maana ni pigo kwa CCM either way.
 
Sitaki...Nataka!
Sikupenda hili litokee,kwani ni gharama nyingine ya uchaguzi mdogo!
Nilipenda hili litokee ili tugombee tena na CCM Afu CDM Tuchukue jimbo!
Hii itakuwa fundisho kwa wana magamba kufungua kesi za kijinga na majaji kuamua kuwa kondomu za magamba!
INAUMA SANA!
INAFURAHISHA SANA!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom