Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,367
- 46,206
Uzi wa wasiokula mitungi huu
Mkifungua wa kuhusu vinywaji mnistue.
Sherehe isiyo na urabu sichangii.
Mkifungua wa kuhusu vinywaji mnistue.
Sherehe isiyo na urabu sichangii.
Kwanini na wao wasiruhusu watu wapakue chakula kwa upendo, kwanini uweke limit ya 🍺 kama watu wanataka kutandika maji?!Roho yako haina hadhi ya kuchangia harusi kiuhalisia, una uroho. Unasaidia mtu ili ufaidike wewe.
Kuna harusi za jamaa na ndugu zetu wa mbali tunachangia na tunashindwa kwenda, je nazo tuombe delivery ya chakula. Harusi ya mwisho nilochangia last month hata sijui imefanyika mkoa gani.
Badala ya kuchanga hiyo 50k wewe nunua kuku ule maana inaonekana kuku ni vitu vya kukugombanisha na watu.
Watu wanajua umechanga kwa upendo kumbe unategeshea ubebe mfuko wa Rambo ukaponee kuku nyumbani.
Hiyo sekta itengwe mkuu, wanajua waleci sio watu wa kupangiwa.Utaambiwa bia 🍺 mwisho ni nne pekee 😃 na umetoa 50k
yaani hapo sherehe inaanza jumatatu mnakula jumanne,mambo lakiniNa bado mlishwe sa 10 ya Alfajiri. Kwakweli mimi sichangii sherehe yoyote.
Kabsa 😊 Ukerewe huko watu mnakula Nyama mpaka unaziacha ila huku town unaambiwa nyama tatu halafu nimetoa 50kMimi ndio maana nilifanyia harusi yangu kijijini kwa Wazee mana nilijua watu wa kijijini kuwapeleka Ukumbini mmmm kasheshe
Sherehe za vijijini ndo unyama
Yaani ng'ombe zinachinjwa mnakula nyama mpaka siku ya 3
Umeongea kwa uchungu sana Mkuu 😃 😀 😄 Kurombana kumetokea wapiHarusi ni sherehe ya kitoto sana mambo ni yaleyale
🚮 🚮 🚮
- Karibuni wageni waalikwa
- Sasa ni wakati wa kuwapokea mahurusi
- Wakisindikizwa na maids na wasimamizi wao
- Sasa ni wakati wa busta
- Vinywaji
- Ukitaka kujiweka sawa kidogo wanaume upande ule wanawake upande huu
- Muziki
- Utambulisho
- Risala
- Chakula
- Zawadi
- Muziki
- Maharusi wetu wakapumzike/wakatombane
Umeongea kwa uchungu sana Mkuu 😃 😀 😄 Kurombana kumetokea wapi
Yaani pesa yako mwenyewe inakutesa, hapana kwakweli.yaani hapo sherehe inaanza jumatatu mnakula jumanne,mambo lakini
Fix iko wapi hapo. Kwamba ni lazima kila mtu awe mlilia broiler hawa wasiofika hata 20k?Acha fix zako nawee, uongo mtupuu. Lol
Sasa saa 10 si kinakuwa kiporo hicho?Na bado mlishwe sa 10 ya Alfajiri. Kwakweli mimi sichangii sherehe yoyote.
nimekumicYaani pesa yako mwenyewe inakutesa, hapana kwakweli.
Mambo safi kabisa.
Nakupa mbinu nenda kwenye sherehe angalia wale wanaopika, mvute mmoja wapo pembeni mwambie siku fulani nataka uje unipikie nitakulipa.misosi ya karamuni ina vibe lake mjuba, ya kujilia home haina vibe
Dah! Nakumbuka nikiwa na 15yrs, kulikuwa harusi moja jirani na nyumbani, nilihusika katika kila shughuli kupamba ukumbi,kusaidia kwa wapishi,kupanga viti na mengine mengi. Ahsubuhi chai ilipita kooni fresh kabisa, lakini sasa ajabu mchana nikawa mkusanya vyombo. Wakati watu wanamaliza kula, wenye kazi yetu tukawa tunagawiwa chakula, bahati mbaya mboga zikaisha kabla sijafika. Nilivyofika kupewa wali mkavu nilisusa huku machozi yakinilenga. SITOSAHAURaha ya sherehe ya harusi, kuwepo na watu watakao kosa nyama/kuku na kachumbari!
Halafu yaani uchangie 50k uachiwe ujipakulie mwenyewe? Hapo ujue kuna gharama nyingine, kama ukumbi, mapambo, muziki, mc, picha, usafiri, vinywaji, n.k!
Kama hujafanya hii shughuli, subiri muda wako ukifika ukihitaji kufanya utaona kichwa kitakavyopata moto kama itakuwa unategemea michango ya watu, unless usichangishe kabisa!
Wametuzoea vibaya sana na michango yetu.Sasa saa 10 si kinakuwa kiporo hicho?