Tuungane katika hii trend, Kataa Michango Ya Harusi

Tuungane katika hii trend, Kataa Michango Ya Harusi

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
2,287
Reaction score
5,210
Ni scum

Ni Mr kuku

Ni ponzi scheme

Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda

Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja.

Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia.

Michango iwe ya kuuguzana tu.
 
Ni scum

Ni Mr kuku

Ni ponzi scheme

Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda

Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja.

Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia.

Michango iwe ya kuuguzana tu.
Cc. Mwanafalsafa (Mwana FA)
 
Watu mnatoa wapi hela, mpaka mnachangiana. Wengine michango yetu ni kuchimba makaburi ya futi sita na kusaka kuni za kupikia. Kisha tunapozwa na chai na halfcake 5.
 
Huu utamaduni ni mpya na ni wa kishenzi, kwani inashindikana nini watu kuoana bila michango ya harusi? Kuoa ni suala la kibinafsi faraghani mwa mtu. Mtu aoe bila kusumbua watu wamchangie kwenye sherehe yake. Mbona kuna wengine hufunga ndoa simpo tu kwa mchungaji/sheikh na suala la sherehe za anasa na ufahari bwana harusi atajua mwenyewe huko kwake watakula nini na mke wake
 
Ni scum

Ni Mr kuku

Ni ponzi scheme

Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda

Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja.

Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia.

Michango iwe ya kuuguzana tu.
From Now on sitoi michango wa Harusi haijalishi ni Nani, sasa ujinga umezidi
 
Back
Top Bottom