Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 2,287
- 5,210
Ni scum
Ni Mr kuku
Ni ponzi scheme
Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda
Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja.
Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia.
Michango iwe ya kuuguzana tu.
Ni Mr kuku
Ni ponzi scheme
Ni project ya wanakamati kula pesa zenu alafu wanawapa pilau kuku na soda
Haiwezekani mtu anakuunga kwenye group ghafla anacheka na wewe sio kawaida yake na ameeka fix mchango laki moja.
Alafu usipomchangia anajifanya kukukaushia.
Michango iwe ya kuuguzana tu.