Gharama ya LATRA kupata kadi ya taksi za mtandaoni

Kasmiri96

New Member
Nov 25, 2014
4
1
Habari wanazengo,

Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata kadi ya Latra kwa ajili ya kufungua akaunt za Uber na bolt gharama yake ni sh ngapi kufanikiwa
 
Kwa kuwa LATRA ni mamlaka ya udhibiti wa usafirishaji wa ardhini, haina uhusiano wowote na kadi ya LATRA kwa ajili ya kufungua akaunti za Uber na Bolt. Kwa hiyo, siwezi kukupa habari kamili kuhusu gharama ya kupata kadi ya LATRA kwa kuwa kadi hiyo haina uhusiano na Uber wala Bolt.

Hata hivyo, ili kufungua akaunti ya Uber au Bolt unahitaji kadi ya malipo ya kielektroniki ambayo unaweza kupata kutoka benki yako au taasisi nyingine za kifedha. Kadi hizi zinapatikana kwa gharama tofauti kutoka kwenye benki na taasisi nyingine za kifedha nchini Tanzania. Gharama na taratibu za kupata kadi hizi hutofautiana kutoka taasisi moja hadi nyingine. Kwa hiyo, unaweza kuwasiliana nabenki yako au taasisi nyingine za kifedha kujua gharama zake na taratibu zinazohusiana na kupata kadi ya malipo ya kielektroniki kwa ajili ya kufungua akaunti ya Uber au Bolt.
 
Habari wanazengo,

Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata kadi ya Latra kwa ajili ya kufungua akaunt za Uber na bolt gharama yake ni sh ngapi kufanikiwa

Una manisha kadi au leseni kutoka latra inayo hitajika bolt na uber?
 
Habari wanazengo,

Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata kadi ya Latra kwa ajili ya kufungua akaunt za Uber na bolt gharama yake ni sh ngapi kufanikiwa

Kama ni leseni ya latra
1. Nenda Polisi utapewa control number utalipia alafu utaenda kwa Veco Atakagua gari alafu ataandika report.
2. Nenda kwenye website ya latra attach hiyo report ya polisi na kadi ya gari
3. Utapewa control number utalipia
4. Nenda ofisi ya latra ukaprintiwe leseni yako
5. Bandika kwenye gari
6 piga picha upload uber na bolt.
 
Kama ni leseni ya latra
1. Nenda Polisi utapewa control number utalipia alafu utaenda kwa Veco Atakagua gari alafu ataandika report.
2. Nenda kwenye website ya latra attach hiyo report ya polisi na kadi ya gari
3. Utapewa control number utalipia
4. Nenda ofisi ya latra ukaprintiwe leseni yako
5. Bandika kwenye gari
6 piga picha upload uber na bolt.
Naeza pata no yako mkuu unipe maelezo kwa kina
 
Kama ni leseni ya latra
1. Nenda Polisi utapewa control number utalipia alafu utaenda kwa Veco Atakagua gari alafu ataandika report.
2. Nenda kwenye website ya latra attach hiyo report ya polisi na kadi ya gari
3. Utapewa control number utalipia
4. Nenda ofisi ya latra ukaprintiwe leseni yako
5. Bandika kwenye gari
6 piga picha upload uber na bolt.
umesahau kitu muhimu kabla ya kuomba leseni ya LATRA hakikisha kadi ya gari lazima isome ni ya commercial na sio private
 
Back
Top Bottom