African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 778
- 1,353
Wakuu, habari za muda huu. Ningeomba kujuzwa na wataalamu wa hizi kazi za taxi mtandaoni, namna gani ya kupata abiria wengi. Mimi ni mgeni kwenye hizi kazi na ningependa kupata walau abiria 10 kwa siku.
Je, nifanye kazi muda gani, siku gani na maeneo gani ili niweze kunasa abiria kwa urahisi. Mimi ni mkazi wa Dar es salaam. Kwa sasa natumia Faras Captain, ila nimelenga kujiunga Bolt na Uber baada ya wiki chache.
Natanguliza shukrani.
Je, nifanye kazi muda gani, siku gani na maeneo gani ili niweze kunasa abiria kwa urahisi. Mimi ni mkazi wa Dar es salaam. Kwa sasa natumia Faras Captain, ila nimelenga kujiunga Bolt na Uber baada ya wiki chache.
Natanguliza shukrani.