Msaada haraka kwa mtu anaehitaji kufata fursa Afrika Kusini

officialBossmtoto

JF-Expert Member
Jul 1, 2019
369
1,178
Ndugu zanguni habari za wakati na muda kama huu. Matumaini unausoma ujumbe huu ukiwa mzima wa afya na kama kuna changamoto basi Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.

Nia na madhumuni ya jumbe hii ni kupata msaada kidogo wa kimawazo kuhusu Africa kusini na jinsi ya kwenda

Je kuna uhitaji wa visa?
Je kwenda na Bus inagaharimu siku ngapi njiani? Vipi mawasiliano hapo katikati mpaka kufika? Je kurudi na mzigo kwa Bus ushuru unakua vipi na yapi makadirio? Pia kwa mwenye uzoefu naomba kujua Gharama za mizunguko ya treni kutoka jiji moja kwenda jingine.

Naomba msinichoke nitakua na maswali mengi kiasi. Lengo ni kupata ujuzi zaidi…….

Asanteni sana na natanguliza shukrani.
 
Hakuna Visa kwa raia wa Tanzania kwenda Mzantsi, labda kama unataka kufanya kazi au kuwa mkaazi wa kudumu.

Nauli kutoka Dar Es Salaam mpaka Mzantsi ni laki 350,000TZS, kutumia mkombe luxury ofisi zao zipi ubungo business park, lakini unaweza kuunganisha kama mzoefu wa huko unapoenda.

Mawasiliano yapo kikubwa uwe na simu janja na uwe una nunua laini za simu katika kila nchi unayopita ili uweze kupata kiunganishi cha mtandao ili utumie mtandao.

Mzigo kama ni wako binafsi au wa matumizi ya nyumbani hauna shida, lakini kama ni biashara kuna kuwa na kodi lakini binafsi sizifahamu na sijawahi pitisha mizigo ya aina hii kuleta nyumbani Tanzania.
 
Hakuna Visa kwa raia wa Tanzania kwenda Mzantsi, labda kama unataka kufanya kazi au kuwa mkaazi wa kudumu.

Nauli kutoka Dar Es Salaam mpaka Mzantsi ni laki 350,000TZS, kutumia mkombe luxury ofisi zao zipi ubungo business park, lakini unaweza kuunganisha kama mzoefu wa huko unapoenda.

Mawasiliano yapo kikubwa uwe na simu janja na uwe una nunua laini za simu katika kila nchi unayopita ili uweze kupata kiunganishi cha mtandao ili utumie mtandao.

Mzigo kama ni wako binafsi au wa matumizi ya nyumbani hauna shida, lakini kama ni biashara kuna kuwa na kodi lakini binafsi sizifahamu na sijawahi pitisha mizigo ya aina hii kuleta nyumbani Tanzania.

Anhaa safi kabisa kaka umeongea vizuri sana. Nimepata majibu mazuri.

Swali la ziada, je ni hela gani ni nafuu zaidi kubeba? Nitoke na dola kabisa au kila nchi niwe nabadili kidogo kidogo?
 
Hakuna Visa kwa raia wa Tanzania kwenda Mzantsi, labda kama unataka kufanya kazi au kuwa mkaazi wa kudumu.

Nauli kutoka Dar Es Salaam mpaka Mzantsi ni laki 350,000TZS, kutumia mkombe luxury ofisi zao zipi ubungo business park, lakini unaweza kuunganisha kama mzoefu wa huko unapoenda.

Mawasiliano yapo kikubwa uwe na simu janja na uwe una nunua laini za simu katika kila nchi unayopita ili uweze kupata kiunganishi cha mtandao ili utumie mtandao.

Mzigo kama ni wako binafsi au wa matumizi ya nyumbani hauna shida, lakini kama ni biashara kuna kuwa na kodi lakini binafsi sizifahamu na sijawahi pitisha mizigo ya aina hii kuleta nyumbani Tanzania.

Na je vipi kuhusu Roaming? Kamaa nikiweka Roaming siwezi kuendelea kupatikana kwa namba zangu hizi hizi?
 
Anhaa safi kabisa kaka umeongea vizuri sana. Nimepata majibu mazuri.

Swali la ziada, je ni hela gani ni nafuu zaidi kubeba? Nitoke na dola kabisa au kila nchi niwe nabadili kidogo kidogo?
Kubadili pesa njiani uwe tayari kupoteza pesa pia, kwa sababu wale pia wanafanya biashara.
kama utafanikiwa kupata bus ya moja kwa moja ni bora utoke na dolar na kiasi kidogo cha kununua chakula njiani.
Mara nyingi binafsi nikisafiri sipendi kuchenji pesa boder, huwa na tuma pesa kwa kupitia western union moja kwa moja ambayo nitakatwa pesa kidogo then nitaikuta nikifika.
Huku nikibakiwa na kiasi kidogo cha dharura ikitokea njiani.
 
Kubadili pesa njiani uwe tayari kupoteza pesa pia, kwa sababu wale pia wanafanya biashara.
kama utafanikiwa kupata bus ya moja kwa moja ni bora utoke na dolar na kiasi kidogo cha kununua chakula njiani.
Mara nyingi binafsi nikisafiri sipendi kuchenji pesa boder, huwa na tuma pesa kwa kupitia western union moja kwa moja ambayo nitakatwa pesa kidogo then nitaikuta nikifika.
Huku nikibakiwa na kiasi kidogo cha dharura ikitokea njiani.

Naomba kujua huu utaratibu. Hio hela unaituma kwa nani?
 
Naomba kujua huu utaratibu. Hio hela unaituma kwa nani?
Unajitumia wewe mwenyewe,

Katika kutuma weka Jina hata la mdogo wako/ ndugu yako kuwa ndio mtumaji ukiwa Tz.

Sababu unapochukua pesa huko watahitaji kitambulisho chako, deatis zingine tayari uakuwa nazo sababu wewe ndiye uliyehusika kwenye mchakato.

NB: Hii njia ni nzuri hata kiusalama , badala ya kusafiri na kiasi kikubwa cha fedha, unatanguliza kabis fedha yako huko uendako.
 
Unajitumia wewe mwenyewe,

Katika kutuma weka Jina hata la mdogo wako/ ndugu yako kuwa ndio mtumaji ukiwa Tz.

Sababu unapochukua pesa huko watahitaji kitambulisho chako, deatis zingine tayari uakuwa nazo sababu wewe ndiye uliyehusika kwenye mchakato.

Anhaa kwa hio mimi naweza ondoka na kiasi kidogo tu changu cha kujikim njiani
 
Back
Top Bottom