BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,682
- 3,406
Habari Wakuu,
Nakusudia kununua ka gari ili nianze biashara ya kutoa huduma ya usafiri(uber,bolt nk)
Je nikiwa na driving license class D nitaweza kukubalika au ni mpk niwe na class C3 kama nilivyoambiwa?
Je kazi ipoje kwa hapa dar es salaam?
Naomba ushauri toka kwa wenye uzoefu na kazi hii.
Ahsanten.
Nakusudia kununua ka gari ili nianze biashara ya kutoa huduma ya usafiri(uber,bolt nk)
Je nikiwa na driving license class D nitaweza kukubalika au ni mpk niwe na class C3 kama nilivyoambiwa?
Je kazi ipoje kwa hapa dar es salaam?
Naomba ushauri toka kwa wenye uzoefu na kazi hii.
Ahsanten.