Generali Ojukwu Ni Kwanini?

Generali Ojukwu Ni Kwanini?

- Wewe ni msomi, so unapaswa kuelewa effect za binadam waliozoea kuishi kwenye failed policies, akiondoka kiongozi wa zile poilicies itawachua muda mrefu sana kuanza kujiamini, maana tatizo kubwa la kuzoea kuishi kwenye failed policies ni unapoteza kujiamini!

William.

William inawezekana uko sahihi. Lakini pia inawezekana hao waliobaki hawana/hawajaweza kufikiria "alternative" nyingine tofauti na zile policies walizoachiwa (have nothing to offer). Inawezekana pia walim-value kiongozi yule sana kwahiyo kila alilopendekeza lilikuwa sahihi; na litaendelea kuwa sahihi regardless ya muda hivyo, hawaoni umuhimu wakuzibadilisha. Policies za wakati ule inawezekana zilikuwa nzuri kwa wakati ule; lakini kwasasa zimepitwa na wakati. Je uongozi au CCM ya sasa ina policies mpya zaku-replace hizo zilizopitwa na wakati? Ni ngumu kuwaelimisha watu wakatae kitu walichokizoea wakati huna kipya cha ku-compare/kureplace kile walichonacho.
 
William inawezekana uko sahihi. Lakini pia inawezekana hao waliobaki hawana/hawajaweza kufikiria "alternative" nyingine tofauti na zile policies walizoachiwa (have nothing to offer). Inawezekana pia walim-value kiongozi yule sana kwahiyo kila alilopendekeza lilikuwa sahihi; na litaendelea kuwa sahihi regardless ya muda hivyo, hawaoni umuhimu wakuzibadilisha. Policies za wakati ule inawezekana zilikuwa nzuri kwa wakati ule; lakini kwasasa zimepitwa na wakati. Je uongozi au CCM ya sasa ina policies mpya zaku-replace hizo zilizopitwa na wakati? Ni ngumu kuwaelimisha watu wakatae kitu walichokizoea wakati huna kipya cha ku-compare/kureplace kile walichonacho.

Unstoppable,
William hayuko sahihi. Na historia inamsuta. Mwalimu ameondoka mamlakani mwaka 1985. Poland na nchi za Ulaya mashariki zilitupilia mbali utawala wa kikomunist baada ya 1989. Wenzetu wamepiga hatua kubwa na huwasikii wakilalamika kama anavyofanya William and his ilk eti Mwalimu alifanya hiki au kile ambacho kiliturudisha nyuma. Angalia Ujerumani mashariki, wameacha kulalamika na ni mwendo mdundo mbele tu. Hawa waliokuja baada ya Mwalimu akiwemo na William na baba yake hawana vision kabisa. Wameshindwa kuendesha gurudumu la maendeleo sasa imebaki kumlaumu Mwalimu tu. Lakini historia inawasuta! Kama Mwalimu alishindwa wangetuonyesha ni wapi aliposhindwa na wao wamefanya nini kutuletea mafanikio. Lakini hamna. Zilch. Wamebaki kuuza nchi tu eti uwekezaji. Uwekezaji my foot! Na William anatamaa ya kujiunga na kundi hilo kwa sababu wanachofanya sasa hivi ni kutafuna ukiwauliza wamefanya nini cha maana wanasema Mwalimu aliturudisha nyuma. The guy is on the outside looking in.
 
- Hapo umesema moja la msingi kwamba alikuwa mjanja sana kwamba hata alipokosea tunashindwa kujadili kwa uwazi mpaka leo akiwa hayupo, kwa hilo ni kweli alikuwa mjanja sana!!


William.
Ok,Nyerere alikosea,so what??kwa hiyo unataka tuhalalishe wanayofanaya magamba sasa hivi au??waht is ur motive bro??
 
Wana thread, mimi nadiriki kukopa falsafa ya dini ya ki-Kristo (huenda u-Islam una falsafa hiyo pia). Mungu anaongoza nchi zote kupitia bin-Adam waliopo katika jamii. Viongozi hao, wengine hukubali kutumiwa na Mungu na wengine hukaidi maelekezo yake. Nyerere aliletwa kuongoza nchi yetu na alikubali kuongozwa na tunu za hekima ya Mungu. Uthibitisho wa ukweli huo ni pamoja na

A: Sera zake zifuatazo ...

1.bin-Adam wote ni sawa na Afrika ni moja
2.Kupiga vita ukabila
3. Serikali kutokuwa na dini ili watu wote wapate fursa ya kumtafuta na kumwabudu Mungu kwa mujibu wa mafunuo yao
4.Tanzania haiwezi kuwa huru kama majirani zake hawapo huru
5.Kazi ni uhai na ni uti wa mgongo wa uchumi wa nchi
6.

B: Maono juu ya viongozi wenzake
1. Alimktaa Marecela kuwa Waziri Mkuu
2. Alimkataa Marecela kuwa Rais wa nchi hii
3. Alimkataa Lowasa na Kikwete kuwa rais wa JMT
4. Alimkataa ..

Kukataliwa huku kunaonesha ufunuo wa maono kutoka kwa Mungu juu ya taifa hili kwa miaka ijayo. Hivyo Marecela alikataliwa na Mungu pia kama alivyokataliwa Eliab mwana wa Yese (kaka yake Mfalme Daud). Kama Marecela angekuwa rais wa nchi hii hakika yake tusingekuwa hivi tulivyo sasa hivi. Uongozi wa kifalme ungewaleta akina Wiliam kama viongozi wa taifa hili na hakika yake tungeshuhudia viongozi wabovu kama tunavyoshuhudia hivi sasa. Mungu alitunusuru na janga hilo, lakini naamini pia atatunusuru na janga tulilo nalo ivi sasa.

Chuki za Wiliam kwa Nyerere ni sawa na na chuki za Shimei kwa mfalme Daud alipokuwa sehemu inayoitwa Bahurim. Shimei alikuwa jamaa ya Saul mfalme wa kwanza wa Israel. Daud alifanya makosa na akapata msukosuko akataka kupinduliwa na mwanaye... lakini Daud alikuwa mfalme aliyefanya vizuri katika uongozi wake kuliko Saul. Daud aliunganisha taifa la Israel na kashinda vita zote za maaduwi zake. Daud alileta amani na ustawi kwa watu wake akiwemo na Shimei. Lakini yote hayo hayakuweza kutuliza chuki ya Shimei kwa Daud.

Hali kadhalika, Nyerere alijitahidi sana katika uongozi wake. Lakini kama bin-Adam alifanya makosa. Lakini pamoja na makosa yake kuna mazuri mengi ametutendea sisi kama watu wa taifa hili kubwa. Moja ya mazuri yake ni lile la kupeleka makao makuu ya nchi Dodoma badala ya Butyama. Hili pekee lingetosha kuwa sababu ya wa-Gogo na Wiliam kumuenzi Nyerere. Dodoma kwakweli ni sehemu ambayo ipo nyuma kimaendeleo, lakini Nyerere hakuangalia hilo. Aliwapenda wa-Gogog kama raia zake na aliona Ugogoni kunafaa kuwa na Ikulu ya nchi badala ya Magogoni kwa Wazaramo. Japokuwa alimchukia Marecela, ambaye ni mu-Gogo, kwa sababu za udhaifu wake katika uongozi, lakini hakuwachukia wa-Gogo wenziye kwa vile ni raia wa taifa letu. Sasa Wiliam anaendeleza chuki tu, tena chuki za baba yake kunyimwa madaraka.

Sasa hivi kuna akina ritz, nao wameungana na Wiliam, wao nao wana chuki zao. Wanamuunga mkono huyu baharia na mwana-siasa wa ki-Marecela lakini hawana kitu cha maana kulipatia taifa hili zaidi ya ubaguzi na chuki tu. Poleni sana. Nyerere amekufa na kazi yake itapimwa na Mungu. Fanyeni kazi zenu nanyi mtakufa na kupimwa. Chuki itawatafuna na kuwala ninyi wenyewe lakini Nyerere hajuwi kitu kwa sasa amelala umauti.
 
Mkuu wangu tatizo lako unadhani kila kitu hunajua wewe ngoja na mie nikupe darsa kidogo ili twende sawa.

General Chukweuemeka Odumengwe Ojukwa, kazaliwa 1933 mjini moja unaitwa Zungeru.

Biafra ipo Kusini Mashariki ya Nigeria wakazi wake wengi ni kabila la Waigbo.

Uasi wa kijeshi Nigeria ulianza miaka ya 1966 baada ya Waziri Mkuu wa kipindi kile Abubakar Tafawa Balewa, kutoka Kaskazini kuuliwa na wanajeshi. General Mkuu wa jeshi la Nigeria Johnson Aquiyi, Muigbo. Akachukuwa uongozi wa nchi.

Uasi mwingine ukafanyika kikundi kutoka Kaskazini walimuaa General Johnson Aquiyi, na General Yakubu Gowon akachukuwa uongozi wa jeshi.

Baada ya apa ndio kisa kikaamia Biafra baada utawala mpya wa General Gowon, kubadilisha muundo wa utawala Biafra walikuwa wanapinga na hawataki utawala wa wanajeshi Waislam...nimekupa darsa kidogo hujue kumbe na mie najua.

Na mie nakuuliza swali kwa nini nchi tano tu duniani ziliutambua utawala wa Biafra nchi zenyewe ni Tanzania, Zambia, Gabon, Haiti, Code d Ivoire?
ritz hebu sogea kidogo uwataje viongozi wa nchi hizo wakati wanaunga mkono maasi ya Nigeria. Tafadhali, utakuwa umekamilisha darsa.
 
Last edited by a moderator:
Nyerere alikosea sawa,lakin pia alipatia. Hata yeye alikiri hilo na kusema wazi ktk uongoz wao walifanya mengi yakijinga na mazur,sasa upuuz wa viongoz wa sasa wanaacha mazur nakufuata yakijinga.
Hiyo ya kuunga au kutounga mkono Ojukwu kwasa nadhan haina msingi hasa ukizingatia nn nchi yetu inakumbana nayo currently. Kama tulifanya makosa katika huo uungaji mkono je unachangia nn kwa hali yetu ya sasa and wht shld we do abt?
Mtanzania anaetaka tuamini kua ni mzalendo anatakiwa focus yake iwe kwe matatizo ambayo nchi inayo kwasasa tumejikutaje humu na atoe mawazo yake ya namna ya kujinasua.
Kueka thread zinazoonyesha chuki dhidi ya viongoz fulan ambao kimsingi walitoa maisha yao na tamaa za kibinadam wakajaribu kuzishinda kwajili ya watanzania wote ni ishara ya uzandiki,unafiki na chuki mioyoni mwenu.
Wengi (kasoro wanajitoa ufaham kwasabab zao) tunajua jinsi watanzania tulivyokua ignorant/illiterate akat wa utawala wa nyerere. Ni wachache sana walikua wanajua rasilimali za taifa na namna nchi inavyoendeshwa. Km Nyerere angekua na roho ya hawa tunawaona sasa ni wazi kina Makongoro na nduguze wasingekua watu wakugombea ubunge wowote.
Hebu tujadili mambo ya msingi kwa nchi yetu kwasasa. Uzur tunajua kinachowasukuma kueka chuki zenu machon pa watu dhid ya nyerere.
Nahili la udini mnalojaribu kutuletea kina Ritz halitusaidii chochote watz wa kawaida. Sisi msoto uko palepale regardless ya dini na ndio mana wanaojadili zaid dini za watu ni nyinyi mlioshiba lakin huku uswazin mkristo na muislam bega kwa bega ktk kubeba zege,dereva islam konda mkristo. Uislam au ukristo wenu unaishia huko, kwetu sisi hautusaidii chochote. Kiongoz uwe muislam au mkristo kwangu mimi n adu km unakwiba na hutupi ahuen wananchi.
Kazi kupanda chuki tu. Na mmelaaniwa baba zenu,nyinyi na vizazi vyenu. Hamtokufa mpaka mmepata aibu ya ubaya wenu na unafiki wenu.
 
Nyerere alikosea sawa,lakin pia alipatia. Hata yeye alikiri hilo na kusema wazi ktk uongoz wao walifanya mengi yakijinga na mazur,sasa upuuz wa viongoz wa sasa wanaacha mazur nakufuata yakijinga.
Hiyo ya kuunga au kutounga mkono Ojukwu kwasa nadhan haina msingi hasa ukizingatia nn nchi yetu inakumbana nayo currently. Kama tulifanya makosa katika huo uungaji mkono je unachangia nn kwa hali yetu ya sasa and wht shld we do abt?
Mtanzania anaetaka tuamini kua ni mzalendo anatakiwa focus yake iwe kwe matatizo ambayo nchi inayo kwasasa tumejikutaje humu na atoe mawazo yake ya namna ya kujinasua.
Kueka thread zinazoonyesha chuki dhidi ya viongoz fulan ambao kimsingi walitoa maisha yao na tamaa za kibinadam wakajaribu kuzishinda kwajili ya watanzania wote ni ishara ya uzandiki,unafiki na chuki mioyoni mwenu.
Wengi (kasoro wanajitoa ufaham kwasabab zao) tunajua jinsi watanzania tulivyokua ignorant/illiterate akat wa utawala wa nyerere. Ni wachache sana walikua wanajua rasilimali za taifa na namna nchi inavyoendeshwa. Km Nyerere angekua na roho ya hawa tunawaona sasa ni wazi kina Makongoro na nduguze wasingekua watu wakugombea ubunge wowote.
Hebu tujadili mambo ya msingi kwa nchi yetu kwasasa. Uzur tunajua kinachowasukuma kueka chuki zenu machon pa watu dhid ya nyerere.
Nahili la udini mnalojaribu kutuletea kina Ritz halitusaidii chochote watz wa kawaida. Sisi msoto uko palepale regardless ya dini na ndio mana wanaojadili zaid dini za watu ni nyinyi mlioshiba lakin huku uswazin mkristo na muislam bega kwa bega ktk kubeba zege,dereva islam konda mkristo. Uislam au ukristo wenu unaishia huko, kwetu sisi hautusaidii chochote. Kiongoz uwe muislam au mkristo kwangu mimi n adu km unakwiba na hutupi ahuen wananchi.
Kazi kupanda chuki tu. Na mmelaaniwa baba zenu,nyinyi na vizazi vyenu. Hamtokufa mpaka mmepata aibu ya ubaya wenu na unafiki wenu.

- Ahsante sana mkuu, umeeleweka sana!!!

William.
 
willie; Kwe hiyo red I was general in his regime not specific kwe issue ya Ojukwu.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu William, Tanzania imeunga mkono watu wengi sana labda nikutajie kidogo Yoel kaguta Museveni tulimpa nyumba pale kaboya, Kanali Garang na wengineo.

Kama hujui Ojukwu hata serikali ya Nigeria inamthamini sana pamoja na kuwa alikuwa muasi, hii ni kutona na ukweli kuwa huo uasi wakati huo ulikuwa haupingiki hata kidogo!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ojukwu amefarfiki juzi juzi tu na amepewa heshima kubwa na kuzikwa kwa heshma ya kitaifa.Hata sasa bado alikuwa anapendwa na wanaijeria wengi.
 
ritz hebu sogea kidogo uwataje viongozi wa nchi hizo wakati wanaunga mkono maasi ya Nigeria. Tafadhali, utakuwa umekamilisha darsa.

Mkuu wangu Kimbunga.

Ngoja nimalizie darsa kwa kuwataja hao viongozi watano waliunga mkono uasi wa Biafara.

1. Rais wa Haiti Francois Duvalier.

2. Rais wa Tanzania J.K Nyerere.

3. Rais wa Zambia Kenneth Kaunda.

4. Rais wa Gabon Albert Bernard Bongo.

5. Rais wa Ivory Coast Felex Houphouet.

Mkuu nadhani darsa linatosha mie niishie hapa nilikuwa najaribu kuweka hizi nondo ili kuweka sawa.
 
Last edited by a moderator:
Ojukwu amefarfiki juzi juzi tu na amepewa heshima kubwa na kuzikwa kwa heshma ya kitaifa.Hata sasa bado alikuwa anapendwa na wanaijeria wengi.

Hayo ni maneno ya kujifariji angekuwa anapendwa angekimbilia Ivory Coast?

Wakumshukuru ni Rais wa Nigeria kipindi hicho Shehu Usman Shagari, kumsamehe.
 
Mkuu wangu Kimbunga.

Ngoja nimalizie darsa kwa kuwataja hao viongozi watano waliunga mkono uasi wa Biafara.

1. Rais wa Haiti Francois Duvalier.

2. Rais wa Tanzania J.K Nyerere.

3. Rais wa Zambia Kenneth Kaunda.

4. Rais wa Gabon Albert Bernard Bongo.

5. Rais wa Ivory Coast Felex Houphouet.

Mkuu nadhani darsa linatosha mie niishie hapa nilikuwa najaribu kuweka hizi nondo ili kuweka sawa.
ritz nimekupata bila chenga! Hivi huyu Benard Bongo ndiye aliyekuja kuitwa Omary Bongo?
 
Last edited by a moderator:
zomba

Tatizo la Mkandara ana mahaba sana na Mwl. Nyerere hawezi kabisa kuyataja mapungufu yake kama ili la Biafra ukweli unajulikana na nafsi yake inajua kuwa Mwl Nyerere aliwaunga mkono waasi wa Biafra sababu kubwa ni dini, lakini hawezi kuandika hayo kwa mahaba makubwa na Mwl Nyerere.
Ikiwa Nyerere aliwaunga mkono Biafra kwa sababu ya dini, ina maana waliokuwa wakiteswa walikuwa wakristu hivyo kkuwafanya wale walopigana dhidi yao kuwa Waislaam sio?.. Mkuu wangu nyie mnatazama vitu gani?... ndio maana Jasusi na wengine wamewaambia kuwa mnafanya makosa sana kuifikiria udini kwa sababu aliyekuwa rais wakati huo alikuwa Gowon sio Mkandara ama Ustadhi akitetea dini yake, huu udini mkuu wangu unatoka wapi?.

Pia wamekuwepo marais wengine ktk Federation hiyo ya Nigeria ambao ni Waislaam na wakristu lakini wote hadi leo wanapingana na kujitenga kwa Biafra kama tunavyopinga kujitenga kwa Zanzibar, na hivyo usitake kabisa kusema anayewaunga mkono Zanzibar lazima awe Muislaam na anafanya hivyo kwa mapenzi ya Usilaam - huu ni ufinyu wa kufikiri na hufanywa sana na watu wasiokuwa na Ilimu dunia, walopoteza imani na matumaini isipokuwa kumtafuta mchawi. Sitopenda kabisa kuamini kwamba ndivyo Ulivyo, mkuu wangu.

Tatu, labda niongezee kusema tena Biafra haikuwa wala sii sehemu ya wakristu ila ni jimbo la kabila la Waibo ilihali Nigeria kuna makabila mengine mengi tu wakristu ambao hawaishi ktk jimbo hilo la mashariki. Na usije fananisha kabisa Biafra na Sudan ya Kusini maana Wapo Wakristu wengi Nigeria ilobakia ndani ya Federation kuliko walokuwa Biafra, hivyo sielewi hii habari unaipata wapi kuwa Biafra ni ya Wakristu wakati yule Ojukwu hata kanisani alikuwa hapajui isipokuwa msituni kama kina Che. Pengine ukisema Ojukwu alikuwa Mjamaa kwa kutazama magwanda alokuwa akivaa, akitumia mbinu za Che na support kutoka nchi za Kijamaa hapo naweza kubaliana nawe hata kama hakuna ukweli huo maana vitu vingi vinashabihiana na ushabiki wa Ukomunist...

Mengine mkuu wangu nakuachieni kwa sababu sifikirii ndani ya box la udini kila siku. Natumia sana kipimo cha Uhuru, Haki na usawa na pale kimojawapo kinapokosekana huwaunga mkono wale waotoa madai yao na sii watu wanaotaka Uhuru wa nchi kwa jina lake japokuwa wao wenyewe wako huru, na wana haki sawa na wengine (i.e. Zanzibar)
 
Ikiwa Nyerere aliwaunga mkono Biafra kwa sababu ya dini, ina maana waliokuwa wakiteswa walikuwa wakristu hivyo kkuwafanya wale walopigana dhidi yao kuwa Waislaam sio?.. Mkuu wangu nyie mnatazama vitu gani?... ndio maana Jasusi na wengine wamewaambia kuwa mnafanya makosa sana kuifikiria udini kwa sababu aliyekuwa rais wakati huo alikuwa Gowon sio Mkandara ama Ustadhi akitetea dini yake, huu udini mkuu wangu unatoka wapi?.

Pia wamekuwepo marais wengine ktk Federation hiyo ya Nigeri
mkandara..
Kilichomsibu nyerere kujihusisha kule biafra it was for his own nyerere's kwa sababu kamwe watanzania hatukunufaika kamwe kwa lolote isipokuwa n kupata hasara ya raslimali zetu... Na kupoteza nguvu kaz zetu.. Kwa io kilicho mpeleka kule anakijua mwenyewee father nation
 
Back
Top Bottom