Anachungulia tu huyu dirishani. Hawamfungulii mlango.
Wewe ulikuwepo enzi hizo? Huwezi kusema kuwa sio Watanzania waliokuwa wanamuunga mkono Ojukwu. Nilikuwepo na nilikuwa mwanafunzi enzi hizo na tuliandamana kuunga mkono uamuzi wa Biafra kujitenga. Katika suala la vita vya Nigeria mimi naweza kujiita authority hapa JF. Leta hoja nyingine.
Hapana. Sisi hatukulazimishwa na dola. Mimi sikuwa yusi ligi au kada wa TANU. Tulipanga wenyewe kuandamana shuleni kwetu tukalizungumzia hilo jambo na waalimu wetu ingawa wanafunzi wa Kihindi walipinga wakikumbuka madhara yaliyotokea katika kutengana kwa India na Pakistani mwaka 1947. Hatukulazimishwa na dola hata kidogo na Ritz anazungumzia hisia tu kwa sababu hakuwepo wakati huo. Na si kweli kwamba Nyerere alishauriwa na Kambona asiunge mkono Biafra kwa sababu tuliitambua Biafra April 1968 wakati Kambona alikimbilia Uingereza Juni 1967. Sasa angemshauri vipi? Kwa simu?Mkuu uungaji mkono unaouzungumzia ni ule wa kulazimishwa na dola. Ritz yuko sahihi kabisa kuhusu vita vya Biafra. Wewe kuwepo enzi hizo si issue kwani facts nyingi zipo kwenye vitabu na watu wanasoma. Nyerere alishauriwa na akina Kambona asiiunge mkono Biafra dhidi ya kujitenga na serikali ya shirikisho lkn aliakataa. Matokeo yake mwisho wa siku akaaibika kwa Biafra kuchakazwa vibaya.
Hapana. Sisi hatukulazimishwa na dola. Mimi sikuwa yusi ligi au kada wa TANU. Tulipanga wenyewe kuandamana shuleni kwetu tukalizungumzia hilo jambo na waalimu wetu ingawa wanafunzi wa Kihindi walipinga wakikumbuka madhara yaliyotokea katika kutengana kwa India na Pakistani mwaka 1947. Hatukulazimishwa na dola hata kidogo na Ritz anazungumzia hisia tu kwa sababu hakuwepo wakati huo. Na si kweli kwamba Nyerere alishauriwa na Kambona asiunge mkono Biafra kwa sababu tuliitambua Biafra April 1968 wakati Kambona alikimbilia Uingereza Juni 1967. Sasa angemshauri vipi? Kwa simu?
Mkuu uungaji mkono unaouzungumzia ni ule wa kulazimishwa na dola. Ritz yuko sahihi kabisa kuhusu vita vya Biafra. Wewe kuwepo enzi hizo si issue kwani facts nyingi zipo kwenye vitabu na watu wanasoma. Nyerere alishauriwa na akina Kambona asiiunge mkono Biafra dhidi ya kujitenga na serikali ya shirikisho lkn aliakataa. Matokeo yake mwisho wa siku akaaibika kwa Biafra kuchakazwa vibaya.
Ritz,Mkuu Jasusi
Sasa wewe ulikuwepo halafu unaongea hisia tu...30 Mei 1967 Kanali Ojukwu alitangaza taifa la Biafra na Tanzania wakautambua utawala wa Biafra.
Chama,Inakuaje mnaondoa posti mkishindwa hoja??? Mods rudisha posti "Hivi Obote ilikuwa ni lazima? Mnaleta hoja mkizidiwa na hoja mnakimbilia kuziondoa hatupo kwenye ligi hapa tunelemishana na kupanuana mawazo
Chama
Gongo la Mboto DSM
Kulikoni tena mpaka mmemfungia Bill!............
Aisee kumbe nilikosa uhondo humu!