Tanzania ilivotuma jeshi kwenda kuikomboa Seychelles, na mpaka Seychelles iko jinsi ilivyo kwa sababu yale mapinduzi yalizimwa na jeshi letu, pia ni wrong policy?
Hapa ndio CCM wanapopotezana na wananchi. Wanatafuta point kwa lolote baya linalotokea sasa hivi kuwa ni kosa la history, kama vile sasa hivi nchi inatawaliwa na watoto. Huyo Mwalimu unayetaka kumlaumu kwa kila kitu, majority ya wananchi wa kawaida hawatakuelewa, hata wale waliozaliwa baada ya yeye kutoka madarakani. Hio inaleta picha kwa wananchi kuwa hata solutions za matatizo yanatokea sasa hivi hamna, mwenye nazo hizo solutions ni Mwalimu, ambaye hayupo tena.
Nenda leo Zanzibar kawaambie kuwa haya matatizo ya Uamsho yanatokana na Tanzania kui support Biafra 1967! Wrong policies hata kama zilikuwepo, ndio zinatakiwa kui shape nchi na kuwa na mwelekeo mzuri kwa kurekebishwa na watawala wanaofuata, sio kukaa na kusema kila saa tuna matatizo sasa hivi kwa sababu ya zamani. Mfufueni basi Mwalimu aje kuwarekebishia, then mumwache apumzke kwa amani.
Only in Tanzania.