Generali Ojukwu Ni Kwanini?

Generali Ojukwu Ni Kwanini?

In short, kuna mengi yanasemwa bila kuwa na jibu la moja kwa moja kuhusu kwanini tuliunga mkono vita ile. Kuna wengine wanaspeculate kwamba Nyerere aliunga mkono wale kwasababu walikuwa wakristu wenzake. Hii inawezekana japo inaonekana ni hoja nyepesi. Ila kupata picha read za books and discuss with elders like your dad who happened to be a reknown diplomat of those days.
 
In short, kuna mengi yanasemwa bila kuwa na jibu la moja kwa moja kuhusu kwanini tuliunga mkono vita ile. Kuna wengine wanaspeculate kwamba Nyerere aliunga mkono wale kwasababu walikuwa wakristu wenzake. Hii inawezekana japo inaonekana ni hoja nyepesi. Ila kupata picha read za books and discuss with elders like your dad who happened to be a reknown diplomat of those days.

- Duh! yale yale haya!!!1

William.
 
Mleta mada umegusa pazuri sana.

Sakata la Zanzibar, iliyoungana tu na Tanganyika linakuwa mwao watu kutaka kujitenga na muungano. Biafra iliyokuwa part and parcel ya Nigeria, si kwa kuungana, walipotaka kujitoa (secession) Nyerere aliwaunga mkono kwa hali na mali. Nakumbuka makopo ya kuchangisha pesa za Biafra tukilazimishwa mashuleni kuyabeba na kwenda kufanya umatonya, nasema kulazimishwa kwa kuwa hakuna aliyeweza kukataa. Tukipita kuomba omba mitaani kuwaombea Biafra kwa kushinikizwa na Nyerere.

Ilikuwa ni udini mtupu wa Nyerere na hakuna zaidi.

Nyerere alikuwa ni kanisa kwanza, Tanzania baadae. Mnafikiri kwanini anapigiwa debe na wakristo wenzie ili apewe utakatifu?

Lakini Mwenyeezi Mungu ni mkubwa, hakuna alichofanya chochote kikawa na mafanikio si siku hizo si baadae, kwa kuwa alichokisema ni kingine na aliyonayo moyoni ni mengine. Mungu hatazami matamshi yetu, hutazama nia zetu.


- Duh, ndio uzuri wa JF mawazo tofauti na ndio Demokrasia yenyewe!!!

William.
 
Kweli nimeamini Nyerere ndio mjanja pekee Tanzania. Bado anaendelea kutuumiza vichwa na bado ataendelea kutuumiza vichwa kama tunapeleka mambo kwa hizi fikra tulizonazo.
 
- Wewe ni msomi, so unapaswa kuelewa effect za binadam waliozoea kuishi kwenye failed policies, akiondoak kiongozi wa zile poilicies itawachua muda mrefu sana kuanza kujiamini, maana tatizo kubwa la kuzoea kuishi kwenye failed policies ni unapoteza kujiamini!

William.

William, nashukuru umejibu.

Kwa maneno yako hayo CCM hawajiamini, na itawakuchukuwa muda mrefu kuweza kujiamini kwa sababu aliyekuwa anawapa majawabu (failed policies?) hayupo. Mwl Nyerere alikufa 1999, leo ni 2012, CCM wanahitaji miaka mingapi ili waweza kujiamini tena?

Kwa kifupi William unachosema hapa ni kwamba CCM wanaongoza hii nchi kwa mtindo wa 'auto pilot'. Kila kitu kilikuwa set na Mwl Nyerere toka 1960s, na kukitokea hitilafu kazi inakuwa moja tu - kupaza sauti kuwa marehemu alikosea! Hakuna cha kusema labda tuangalie kama oil imepungua, au engine imechoka au hata technology imebadilika hivyo tusuke machine kwa mtindo wa kisasa zaidi! no no no.... marehemu alitakiwa atengeze "timeless policies". Increadible!

Labda nikuulize, unaamini CCM ya sasa (CCM minus Nyerere aliye hai) wana uwezo wa kuongoza hii nchi?
 
Kweli nimeamini Nyerere ndio mjanja pekee Tanzania. Bado anaendelea kutuumiza vichwa na bado ataendelea kutuumiza vichwa kama tunapeleka mambo kwa hizi fikra tulizonazo.

- Hapo umesema moja la msingi kwamba alikuwa mjanja sana kwamba hata alipokosea tunashindwa kujadili kwa uwazi mpaka leo akiwa hayupo, kwa hilo ni kweli alikuwa mjanja sana!!


William.
 
Nchi kama hii haina policies za kueleweka yaani naona ni kama mtu ana amka nakuamua analotaka yeye.Imefika sasa tuwaige hawa wenzetu wamarekani.Manake kwetu membeatasema hiki,mkuu wake atasema kile yaani ni vurugu mechi
 
William, nashukuru umejibu.

Kwa maneno yako hayo CCM hawajiamini, na itawakuchukuwa muda mrefu kuweza kujiamini kwa sababu aliyekuwa anawapa majawabu (failed policies?) hayupo. Mwl Nyerere alikufa 1999, leo ni 2012, CCM wanahitaji miaka mingapi ili waweza kujiamini tena?

Kwa kifupi William unachosema hapa ni kwamba CCM wanaongoza hii nchi kwa mtindo wa 'auto pilot'. Kila kitu kilikuwa set na Mwl Nyerere toka 1960s, na kukitokea hitilafu kazi inakuwa moja tu - kupaza sauti kuwa marehemu alikosea! Hakuna cha kusema labda tuangalie kama oil imepungua, au engine imechoka au hata technology imebadilika hivyo tusuke machine kwa mtindo wa kisasa zaidi! no no no.... marehemu alitakiwa atengeze "timeless policies". Increadible!

Labda nikuulize, unaamini CCM ya sasa (CCM minus Nyerere aliye hai) wana uwezo wa kuongoza hii nchi?


- Sasa mkuu kweli tunadikie mate na wino upo? Si wananchi wamepiga kura mara ya mwisho na kuchagua CCM au?


Willaim.
 
- Hapo umesema moja la msingi kwamba alikuwa mjanja sana kwamba hata alipokosea tunashindwa kujadili kwa uwazi mpaka leo akiwa hayupo, kwa hilo ni kweli alikuwa mjanja sana!!


William.

kuna watu mko ccm kwa sababu ya njaa na hofu ya kufanyiwa umafia mkihama.

pole sana kwa kupigia debe mzoga (serikali ya sasa ya ccm)
 
W.J. Malecela,
Hivbi tatizo liko wapi hapa haswa ikiwa leo hii Tanzania tuna majeshi yetu South Sudan, Congo na Rwanda yakilinda amani huko chini ya bendera ya AU ndio inaleta tofauti?.. Kumbuka tu kwamba miaka ile UN walikuwa hawapeleki majeshi yake kulinda amani nchi za dunia ya tatu na pia AU wenyewe tulikuwa hatuna jeshi la umoja huo.

Nadhani muhimu hapa mkuu wangu ni kutazama uhuru, Justice na Usawa unaotolewa na watalawa kwa wananchi wake kama kitapungua japo kimoja wapo basi tanzania tunatakiwa kusimama bega kwa bega na wanaharakati wa nchi hiyo na kaa itawezekana kupeleka misaada kwa lengo la KULINDA haki zao. Kama tulipeleka majeshi Msumbiji, Zinmbabwe na South Afrika nchi ambazo tayari zilishatangaza Uhuru wake inakuwaje tunaona vibaya kuhusu Nigeria au kwa sababu ni watu weusi wenzetu.

zomba
,
Mkuu wangu acha hizo yaani unataka kunambia wewe ulitembea na makopo kuchangisha fedha za madafu kuisaidia Biafra wakati hela hiyo haina thamani huko Nigeria. Hivi weli unataka kunambia Nyerere alikuwa mjinga kiasi hicho kweli unachangisha Tsh kusaidia Biafra wakati Benki kuu na benki zote zenye Dollar ni mali ya Taifa...
 
Jasusi, Mag3 et al, toeni hilo darasa basi ili mwenzenu apate elimu kuliko kumlima vijembe?Si ndo maana ya JF wakuu?

Tatizo mwanafunzi mwenyewe majinuni, hata apewe darasa gani... he has no ability to open up his mind when (he is) fixed to something else
 
- Sasa mkuu kweli tunadikie mate na wino upo? Si wananchi wamepiga kura mara ya mwisho na kuchagua CCM au?

Willaim.

Wananchi walipiga kura lakini pia NEC walipiga kura, tena kwa wingi sana. Na kama utakuwa muwazi as I believe you are, basi utakubalina nami kuwa kwa miaka kama 5 sasa CCM wamekuwa consumed na 'domestic violence'. Muda mwingi umetumika kujadili migogoro ya ndani kwa ndani kuliko kukarabati policies za nchi.

Na kwa maneno ya wana-CCM wenyewe, tena viongozi, tatizo tulilonalo sasa na uongozi!
 
kuna watu mko ccm kwa sababu ya njaa na hofu ya kufanyiwa umafia mkihama.

pole sana kwa kupigia debe mzoga (serikali ya sasa ya ccm)

- Kwa hiyo na wewe upo huko uliko kwa sababu hizi na sio kwa sababu una imani na chama, pole snaa!

William.
 
- Kila ninapoangalia tulikotokea hili Taifa, ninapatwa wasi wasi sana kwamba hatukufika hapa tulipo kwa makosa, tumefanya makosa mengi sana nyuma in terms of policies mpaka leo hii kurekebisha inakuwa ni almost impossible, ingawa watawala wa sasa wanajitahidi sana.

- Eti ni kwa nini Tanzania tuliunga mkono Waasi wa Nigeria waliokuwa wanaongozwa na General Ojukwu, kwenye kiu yao ya kujitenga na Nigeria Federation? Ninakumbuka tukiwa wadogo Shuleni, tulivyokuwa tunaimbishwa nyimbo za kumsifu Ojukwu, why? I mean ni policies ngapi huko nyuma we were wrong maana inaonekana ni nyingi sana that ni vigumu sana sasa kurekebisha njia!

- JE have we ever apologize to the Nigerians kwa makosa yetu ya kuuunga mkono uasi wa Ojukwu, dhidi ya serikali halali ya nchi hiyo?

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William J. Malecela.
William Mkuu, hoja yako (pengine) ni nzuri lakini imekuja wakati ambapo tuna mengi muhimu "ya sasa" ya kujadili. Kwa hivyo sitaki kujiingiza katika kuhakiki kama TZ ilipatia au ilikosea kuunga mkono unaowaita "waasi ndani ya serikali halali", hasa kwa suala lililotokea mwaka 1967, (what a coincidence) mwaka ambao tulianzisha sera za Azimio la Arusha, baadaye likaja Azimio la Zanzibar, bila ya kusahau donda ndugu la Muungano wa 1964, marekebisho ya katiba ya 1977. kuingiza mfumo wa vyama vingi 1992... ubinafsishaji, sera ya madini, ukubwa wa serikali, madaraka mikoani, sera ya elimu.... na madudu mengine mengi yanayoendelea hadi leo, yanayohitaji kujadiliwa na kurekebishwa SASA.

Kwa maslahi ya ustawi wa Taznania kisiasa, kiuchumi na kijamii, ninaunga mkono hoja yako kuwa TZ ilifanya madudu, lakini kwa nini tujadili madudu ya 67 ya Nigeria wakati tuna "lori la shehena ya madudu" nchini? Tujadili haya, tuwafumbue macho viongozi wetu wakubali kutibu pale palipooza. Maisha ya sasa yanakwenda mbio sana, ukipoteza hatua moja tu wenzako wanakuacha nyuma miaka mia moja. Tanzania tumeachwa nyuma ya 1961 tulipopata "uhuru" - Tujadili haya.
 
William Mkuu, hoja yako (pengine) ni nzuri lakini imekuja wakati ambapo tuna mengi muhimu "ya sasa" ya kujadili. Kwa hivyo sitaki kujiingiza katika kuhakiki kama TZ ilipatia au ilikosea kuunga mkono unaowaita "waasi ndani ya serikali halali", hasa kwa suala lililotokea mwaka 1967, (what a coincidence) mwaka ambao tulianzisha sera za Azimio la Arusha, baadaye likaja Azimio la Zanzibar, bila ya kusahau donda ndugu la Muungano wa 1964, marekebisho ya katiba ya 1977. kuingiza mfumo wa vyama vingi 1992... ubinafsishaji, sera ya madini, ukubwa wa serikali, madaraka mikoani, sera ya elimu.... na madudu mengine mengi yanayoendelea hadi leo, yanayohitaji kujadiliwa na kurekebishwa SASA.

Kwa maslahi ya ustawi wa Taznania kisiasa, kiuchumi na kijamii, ninaunga mkono hoja yako kuwa TZ ilifanya madudu, lakini kwa nini tujadili madudu ya 67 ya Nigeria wakati tuna "lori la shehena ya madudu" nchini? Tujadili haya, tuwafumbue macho viongozi wetu wakubali kutibu pale palipooza. Maisha ya sasa yanakwenda mbio sana, ukipoteza hatua moja tu wenzako wanakuacha nyuma miaka mia moja. Tanzania tumeachwa nyuma ya 1961 tulipopata "uhuru" - Tujadili haya.
Mkuu shukran sana a hili nimeliona sana hapa JF wala sii William pekee isipokuwa ndio mada za Wadanganyika leo hii kuzungumzia yaliyopita. Mada zote humu ni swala lilotokea leo, jana, juzi au mwaka fulani hakuna kabisa mada inayozungumzia mbele ya matatizo na tunaweza vipi kuyakinga au kupambana nayo tukienda mbele. Katika mbio za kisiasa, watu wanataka tusimame na ku freeze bongo zetu kisha turudishe kumbukumbu miaka 30 au 40 iliyopita kumtafuta mchawi halafu sijui ili iweje?.

Binafsi nadhani tunashindwa kwa mengi maana JF sasa hivi imepoteza kabisa mwelekeo wake japokuwa hoja muhimu zaidi zimepelekwa kule Great Thinker ambako wachangiaji wengi hawaingii kule. Inaonyesha hili neno SIASA limewavutia watu wote hivyo kila mtu anataka kuweka hoja zake hapa hata kama haijengi..
 
Nadhani wewe ndio unajichanganya kutokana na kutokujua, ngoja nikupe darsa kidogo..

Unaposema kwa nini tusingewaunga mkono Israel tuwaunge mkono Palestine, wewe kwa akili yako unadhani Waisrael ni Wakirstu Waisrael dini yao ni Jewish, tena Israel kuna Wakiristu wachache sana wanazidiwa hata na Waislam kwa wingi...Wakirstu ni 2.1% na Waislam 16.9%.

Inawezekana Palestine kuna Wakiristu wengi kuzidi Israel kwa mfano maeneo ya Bathlehem.

Wengi wenu huwa mnajidanganya kuwa Waisrael ni Wakiristu hawa jamaa kwanza wanauchukia sana Ukiristu soma vitabu vyao ndio hutajua.

Mkuu ritz kumbe umezama kiasi hicho. Dini ya Waisrael ni kama ulivyosema. Wao kwanza hawaaamini kuwa Yesu ndiye masihi wao wanamsubiri masihi wao. Kwa hiyo no way kwamba ni wakristo. Sisi wakristo (tunaojua) tunawaona Mayahudi kama wapinga Kristo.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Nyerere alimuunga mkono Ujukwu kwa sababu ya imani za kidini. Hakuna sababu nyingine. Hutaki unaacha
 
Back
Top Bottom