Safi kabisaSijakaa sana Muheza ,ila hapo anunua mashamba ya machungwa kwa sana ,kwa vile Tanga inajulikana kama namba moja kwa machungwa
Viazi utoe njombe kwenda Tanga?Tanga ni pagumu sana kibiashara.
Ila kama una mtaji, Fanya hii
1. Viazi mviringo kutoka njombe
2. Biashara ya mbao kutoka njombe, Iringa au pale lushoto
Ndiyo mkuu...Viazi utoe njombe kwenda Tanga?
Mkuu hats Tanga maeneo ya Lushoto viazi ni vingi ukitoa viazi njombe kuleta Tanga ni hasaraNdiyo mkuu...
Viazi vinatoka njombe kwenda Pwani-Mafia, ishindikane kwenda hapo tanga.
Mkuu hata Tanga maeneo ya Lushoto viazi ni vingi ukitoa viazi njombe kuleta Tanga niNdiyo mkuu...
Viazi vinatoka njombe kwenda Pwani-Mafia, ishindikane kwenda hapo tanga.
Matunda na viungoHabari Wadau
Ni fursa gani za kiuchumi/ biashara zilizopo au zinazoweza kuanzishwa Wilaya ya Muheza?
Siyo viazi tu hata mbao zinapatikana lushoto na korogwe ila kiwango kikubwa cha mbao zinatoka iringa.Mkuu hats Tanga maeneo ya Lushoto viazi ni vingi ukitoa viazi njombe kuleta Tanga ni hasara