Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,429
- 3,637
Unyanyasaji wa kijinsia
Heh!watoto wenyewe wana lilia ri peremende langu huo unyanyasaji uko wapi Mkuu???
Unyanyasaji wa kijinsia
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.
Lovely sis umesahau na jiko la mchina na sufuria tatu, zile sahani 4 pia hujataja na vijiko 6 lol.
Hauna kibatari?
Mi namiliki tunguri 7, vibuyu 15, hirizi themanini, nyungo 10. Pia nina uwezo wa kwenda nchi yoyote kwa muda mfupi kwa kutumia njia za asili.. Napaa. Mengine siri yangu.
Poa poa sis charminglady! Lazima turingishie vitu vyetu tunavyovimiliki lol.teh... asante kwa kunikumbusha sis!!!!
mimi namiliki stuli nne za mninga na meza yake, simu aina phillips na cherehani aina ya butterflower!!!
mamaaaa!
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.
Ha ha ha ha! Mandingo nae anaomba umwongeze lol.Sasa je,na tena nimekuzidi tena
nina
1. Ruhazwe JR, bado ananitamani.
2. Ruttashobolwa, nasikia ana mwingine lakini sijali lolote.
3. Arushaone, nasikia ana mwingine lakini sijali lolnte.
4. tedo,
5. Chilli na
My Best Huzmaterial Chimbuvu.
manoah, Ismail N. Juma pamoja na matumbo wako Pending kwanza,huku kukibuma,navuta Brand New from hao.
Hapana chezea Madame B,chumchum Pelemba,Ukienda na Shungi utarudi na Kilemba.
Afu wewe Request yangu vp?
Hujapata mke tu?
Nataka ushoga na mkeo!
Mbona huelewi?
Khaa.
Hahahahaha! Lolest! Uwe makini wasijekuvuna na wewe siku moja tehe tehe!Mswalie mtume wapiii hii ndo dawa yao yakijilengesha mie navuna tu
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.