FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Mie nilijua nipo juu zaidi yako kumbe umenizidi! Mie nawamiliki wa 4.

1. Mr Rocky ! 2. Filipo ! 3. Mungi na husband nitonye !

Sasa je,na tena nimekuzidi tena
nina
1. Ruhazwe JR, bado ananitamani.
2. Ruttashobolwa, nasikia ana mwingine lakini sijali lolote.
3. Arushaone, nasikia ana mwingine lakini sijali lolnte.
4. tedo,
5. Chilli na
My Best Huzmaterial Chimbuvu.

manoah, Ismail N. Juma pamoja na matumbo wako Pending kwanza,huku kukibuma,navuta Brand New from hao.
Hapana chezea Madame B,chumchum Pelemba,Ukienda na Shungi utarudi na Kilemba.
 
Last edited by a moderator:
Ninamiliki jiko la mchina lenye stand, na visufuria 2 vidogodogo. + mwiko 1 na saver spoon 1, cna haja ya kuongeza vyombo vingine. Hayo ndo maisha ya kiselaa!
 
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.


Kumbe ndi maana siku ileee................


6b9L28hCZ5g0u33AAAAAElFTkSuQmCC


Baadaye ukaniambia ulikuwa unanitania.....
Kumbe tuko wengiiii...
 
Sasa je,na tena nimekuzidi tena
nina
1. Ruhazwe JR, bado ananitamani.
2. Ruttashobolwa, nasikia ana mwingine lakini sijali lolote.
3. Arushaone, nasikia ana mwingine lakini sijali lolnte.
4. tedo,
5. Chilli na
My Best Huzmaterial Chimbuvu.

manoah, Ismail N. Juma pamoja na matumbo wako Pending kwanza,huku kukibuma,navuta Brand New from hao.
Hapana chezea Madame B,chumchum Pelemba,Ukienda na Shungi utarudi na Kilemba.
Ha ha ha ha! Mandingo nae anaomba umwongeze lol.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom