marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,661
mie noma yaani napiga ulanzi hadi najinyea!
Bora hata FB
mie noma yaani napiga ulanzi hadi najinyea!
mimi namiliki stuli nne za mninga na meza yake, simu aina phillips na cherehani aina ya butterflower!!!
Nimekuja St. Paka Mweusi, niko hapa getini hebu mtoeni huyo Filipo niondoke nae! Awaache mjinafasi manake mimi na yeye tulikuwa pamoja na hakuonyesha kumjali marejesho. Mtoeni!Hahahahahha,mwaka huu mimi na wewe kaka...wapi sweetlady njoo chukua hii mutu huku.....
Nimekuja St. Paka Mweusi, niko hapa getini hebu mtoeni huyo Filipo niondoke nae! Awaache mjinafasi manake mimi na yeye tulikuwa pamoja na hakuonyesha kumjali marejesho. Mtoeni!
Hapa nadhani Filipo anahusika zaidi,ngoja aje.....
Hakuna butterflower labda butterfly
Jamani mume karudi,ngoja nimsikilize !!! St. Paka Mweusi na Nicas Mtei tutachat baadae!!!!
Nilimficha toka sa4 asubh, nimemtoa nje sahizi apate upepo kidogo afu namchukua tena!
Hahahaha! Mwambie nimemtuma aje achukue nguo za kubadilisha hivyo asijishaue eti mume karudi lol
Mashauzi dot com!nipo nawachungulia tu! Naona watu wanataka kurushiana vitu vyenye ncha kali kugombania halali ya mwenzao! Achana nao hao!
Ha ha ha ha! Usijali St. Paka Mweusi , marejesho haniwezi na Filipo hapa kwangu kafika , tena akicheza namwambia atoke na kabati lote lolMama sasa wewe unakula na kipofu halafu ndio unamkamata na mkono wake kabisa,msubiri abadilishe tu asichukue nguo za kubeba...
Hehehehe! Huyo baamedi uloketi nae ndo wife ?Asiwadanyanye mtu! Ndovu ni tamu hasa unapokunywa na wife!
Ha ha ha ha! Usijali St. Paka Mweusi , marejesho haniwezi na Filipo hapa kwangu kafika , tena akicheza namwambia atoke na kabati lote lol
Hahahaha! Kumbe ndio mana haishi kujipendekeza kwa marejesho, anajua akileta za kuleta ki rambo kinavurumishwa nje lol. Pole Filipo hayo ndio madhara ya kulelewa! Ila ntamnunulia sanduku St. Paka Mweusi !Nilikuwa sijaona hapa,nani wa kutoka na kabati hapo..?? Unadhani marejesho atamruhusu..?? Atatoka na mfuko wa Rambo aliokuja nao labda umnunulie sanduku umsubiri nalo getini kumfichia aibu....
Namshangaa lol.