Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Hahahahahahaha! Lolest! Lily Flower njoo upesi!
Sasa huo ni uchokozi................... naanza kujitetea
Hahahahahahaha! Lolest! Lily Flower njoo upesi!
Jitetee niweke picha lolSasa huo ni uchokozi................... naanza kujitetea
Khaaa we kiboko Jiwe Linaloishi :yo:
kwani kuna ubaya kujisifia acha nianze hivi
nina miliki pafyumu babkubwa toka magharibi, nina simu ambayo Tanzania haipo na hakuna mtu aliyenayo, nina kabati la nguo la kisasa wewe umeshaona kabati linajifungua lenyewe na kukuambia unataka kuvaa nguo gani? wee acha masihara bana na vilevile nina uwezo wa kutamka kitu na kikatokea , UPO HAPO MWAKWETU
Najisifia kuwa na hazina ya marafiki wazuri,waelewa nk!!
Wewe Filipo ni mume and my number one best friend!!
nakula na wewe kipofu... sikushiki mkono. Pia kumbuka kuwa wajinga ndo waliwao ubwabwa wao
nakula na wewe kipofu... sikushiki mkono. Pia kumbuka kuwa wajinga ndo waliwao ubwabwa wao
unaitika umeitwa!?