Uthibitisho huu hapa:
Hehehehe! Huyo baamedi uloketi nae ndo wife ?
Ha ha ha ha! Una adhabu gani kule?...afu mie sijapita kule mda mrefu, namalizia malizia viporo vya chit chat then nahamia kwenye stress mazima! Tutaenda wote eeh?Akichungulia huku nampiga ban! ushemeji wenu ni kwenye jukwaa la stress........ halafu kule sikuizi nina adhabu kweli
Tena wewe ! Nna hasira sana na wewe , labda ujitoe jfUmezoea kuwaharibia wenzako....... na bado
Ha ha ha ha! Una adhabu gani kule?...afu mie sijapita kule mda mrefu, namalizia malizia viporo vya chit chat then nahamia kwenye stress mazima! Tutaenda wote eeh?
Ha ha ha! Akijitoa utanioa wewe? Think twice Mungi
Hahahahahahaha! Lolest! Lily Flower njoo upesi!labda spea tairi................. kwa sababu mi sipo tayari kuingia kwenye chupa......... sssssssss usipige kelele akasikia my Lily Flower