FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Mambo vp Mkuu! Unakubalije kushindwa kirahisi hivyo kama mgombea wa tpp maendeleleo! Komaa mkubwa!?

ha ha ha....wakati mwingine kujondoa ndio dawa pekee inayokuwa sahihi....we endelea tu....utarudi hapa kuomba ushauri
 
Usisubiri kusifiwa jisifie Mwenyewe...Husika na kichwa ya habari hapo juu..
Mi ntakuwa wa Mwisho...ila kwa kuanzia..mi ni mbabe,hapa ngumi zimelala....uwezo wangu binafsi wa kumfurahisha na kumridhisha mwenzi wangu...
Nina miliki baiskeli 3,qhoen
Hayo ni mache tu...

Endeleza.

Mwongo wewe! Huna ubabe wowote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom