Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,116
- 2,490
Ni receiver gan nzuri mkuu... Niweze kupata movies, mpira, documentary, local channels, fassions n.k
Hata sony 68.5e au 66 mieleka ipo ya kumwagaAFN sports
Canal ni nini? nani anamiliki? please naomba elimu kwanza kabla ya kukupa kazi!-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga mfumo wa Cable Tv kwenye hotel, guest house ,apartment au nyumbani
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app
Canal+ (Canal Plus, French pronunciation: [kanal plys], meaning 'Channel Plus'; sometimes abbreviated C+) is a French premium television channel launched in 1984. It is 100% owned by the Canal+ Group, which in turn is owned by Vivendi.Canal ni nini? nani anamiliki? please naomba elimu kwanza kabla ya kukupa kazi!
asante kwa elimu kifurushi namlipa nani sasa na gharama za ufungaji na dish kiasi gani? natanguliza shukrani!Canal+ (Canal Plus, French pronunciation: [kanal plys], meaning 'Channel Plus'; sometimes abbreviated C+) is a French premium television channel launched in 1984. It is 100% owned by the Canal+ Group, which in turn is owned by Vivendi.
-Wanaonesha ligi za Uingereza (EPL), Ufaransa(League 1), Laliga, UEFA,Europa na zinginezo.
-Mashindano mbalimbali ya tennis(Wimbledon, ATP Masters 1000), mpira wa kikapu (NBA), rugby, mashindano ya magari (Formula 1), mieleka (WWE) nk.
-Yote haya utayaona kwa channel za Canal 1,2,3 na 4 zote zikiwa HD
Hivi kisimbuzi hiki kina Chanel gani nzuri hasa?TAARIFA KWA WATEJA WA KINGAMUZI CHA TING CHA DISHI.
Kutakuwa na mabadiliko ya SYMBOL RATE kutoka 30000 kuwa 25000 kuanzia siku ya jumanne tarehe 19/11/2019 asubuhi. Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza. Endelea kufurahia huduma yetu.
Bei zetu za ving'amuzi
>DSTV- 99,000 (kikiwa na kifurushi cha Compact)
>Azam Tv - 145,000
>Startimes(dish) - 135,000 (pamoja na delivery)
>Startimes (antenna) - 79,000
>Canal - 185,000 (one month subscription + installation[ufundi])
Tunakuletea popote ndani ya Dar es Salaam
Instagram @nova_satellite_dealers
Hapo utafaidi local channels na zile za dini sana sana
Hizi ni kifurushi cha tsh ngapi napata?ATN, Hope channel, Emmanuel tv, Miracle Tv, Daystar, Loveworld, EWTN, Africa Swahili, Madani, nk