Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,299
- 8,862
Mimi mwenyewe bila kumtumia wakala siwezi kufanya malipo?Wakala anakufanyia malipo, unatakiwa kuwasiliana na wakala tu
Mimi mwenyewe bila kumtumia wakala siwezi kufanya malipo?Wakala anakufanyia malipo, unatakiwa kuwasiliana na wakala tu
Haiwezekani mkuu, ulipiaji wake haujaingizwa kwenye huduma za malipo kama Mpesa, Selcom nk.Mimi mwenyewe bila kumtumia wakala siwezi kufanya malipo?
HupatikaniInahitajika king'amuzi cha startimes
Njoo inbox
0692804893 au 0769939879
Fundi dish na wauzaji ving'amuzi DarNahitaj kingamuz cha azam
Naaaam-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga mfumo wa Cable Tv kwenye hotel, guest house ,apartment au nyumbani
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiger kwa sasa hazipo madukani mkuupoppah vipi Tiger T3000 extra naweza kupata kwa bei ngapi
Starsat 2000hd extreme bei gan?
Mimi dish langu DSTV limeyumba signal 0.Unarekebisha kwa sh ngap?Ubungo msewe hapaNimekucheki inbox boss
Inawezekana boss, ila idadi ya channel zinazohitajika zitakupa idadi ya dekoda/receiverNahitaji kuweka televisheni kwenye vyumba vya nyumba ya kulala wageni.
Nataka kutumia dishi moja lakini kila aliye kwenye chumba aweze kubadili chaneli.
Sitaki nyumba yote kulazimishwa kuangalia chaneli moja.
Ningependa kutumia king'amuzi cha Azam.
Nipo Ngara Kagera.
Sent using Jamii Forums mobile app