Mkuu naswaliMechi zote ligi kubwa wikiendi hiiView attachment 2063002View attachment 2063003
1. Ndio mechi zote muhimu na kubwa huwa zinaoneshwaMkuu naswali
1: je mechi zote muhimu hawa Canal+ wanaonesha?
2: kuna urahisi wakutuma pesa kwaajili ya kulipia ving'amuzi hivi? na je malipo ya mwezi ni 45 au?
3: canal+ english imetoka nasikia, je inapatikana Tanzania
Shukran mkuu tutafanya biashara1. Ndio mechi zote muhimu na kubwa huwa zinaoneshwa
2. Tunalipia na kufungua dekoda chini ya dakika 7
3. Sio kweli Canal+ ya lugha Kiingereza bado haijatoka, ila kuna channel za mpira ziliongezwa kwenye decoder zinazotangaza mpira kwa lugha ya Kiingereza kwa kifurushi kikubwa
Malipo yanepungua sana kwasasa ni 37k kwa mwezi