makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,459
- 108,551
Mkuu nataka nifunge ving'amuzi viwili vya azam kwa dishi moja na kila kimoja kijitegemee, je nahitaji vifaa gani, nipe maujanja mkuu.
Akuoe maujanja tena.?Mkuu nataka nifunge ving'amuzi viwili vya azam kwa dishi moja na kila kimoja kijitegemee, je nahitaji vifaa gani, nioe maujanja mkuu.
Mkuu hujaelewa au ujeuri tu!!,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akuoe maujanja tena.?
Shukrani mkuu, nikikwama nitakucheki, we kufanya kazi hii utahitaji kiasi gani!?Utahitaji Twin KU LNB yenye port mbili
King'amuzi na dikoda ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti?!Bei zetu za ving'amuzi
>DSTV- 99,000 (kikiwa na kifurushi cha Compact)
>Azam Tv - 145,000
>Startimes(dish) - 140,000
>Startimes (antenna) - 79,000
>Canal - 185,000 (one month subscription + installation[ufundi])
Tunakuletea popote ndani ya Dar es Salaam
Instagram @nova_satellite_dealers
Mkuu kuna mtu aliniingiza mkenge nikanunua Freesat V7 akanifungia na dish la futi 5 lkn vimekaa kama pambo tu, lengo lilikua channels za mpira lkn hamna kitu kabisa. Naomba ushauri nifanye nini, nitoe nitafute king'amuzi kingine au kuna maujanja yanaweza kufanyika? Nipo dsm
Eti wazee
Hivi ni kweli hakuna receiver ambayo
hata mvua ikinyesha bado unaendelea kucheck vipindi?
bila hata kuteteleka au kukwamakwama?
hasa mipira (Ligi)
Hivi hawa zuku wana channels gani zenye HD?Matangazo yanayorushwa kwa masafa ya KU band ni kawaida kuathiriwa na mvua/wingu zito.Tatizo hilo bado halijapatiwa ufumbuzi.
Zuku,startimes,ting,continental, azam,kipi ni bora picha na sauti?