Daaah balaaHuko hatuna ofisi mkuu
Bei ganZipo mkuu; 0764453848
Na ile Tensport sijui nayo ni miongoni mwao?
Kwa zenji hata ofisi za DSTV hamna mkuu?Inapatikana kwenye receiver yoyote yenye Powervu
Mkuu DSTV zenji hamna ofisi?Mkuu remote ni gharama kidogo 35,000 bado usafiri
Ungekuwa unatoa majibu public ili yawasaidie wengine ambao wangeuliza kama hivyo pia. Thanks.Nicheki nikuelekeze
SdUlitaka remote ya decoder ya HD au SD??
Jiongeze wewe acha undezi.Hatufanyi kazi huko
Jiongeze wewe acha undezi.
Sh ngapi pamoja na ufundi!?Usikose AFCON, EPL,LALIGA, France, UEFA Champions League, UEFA Europa, Copa America, Copa Del Rey, Belgium League, Turkish League, CAF Champions LeagueView attachment 1119378View attachment 1119379
Mi nataka niangalie chanel bila kulipia [emoji17][emoji17][emoji17]-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app