Dish moja inawezekana kutumia na kingamuzi kimoja maana frequency zinatofautiana ukitaka kutumia dstv unaelekezea uelekeo wa dstv and vice versaNina dish moja la startimes nataka nitumie kwa ving'amuzi viwili startimes yenyewe na dstv inawezekana?
hivi naomba kuuliza mfano natumia receiver ya zamani strong 4669x ina sehemu ya terrestial naweza kufunga antenna nikapata kina ITV ?Upo 0764453848
Fundi mimi nina guest house ya vyumba 8, nataka niweke tv kila room, ambapo mteja awe anabadili channel mwenyewe-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hewani
Usikose AFCON, EPL,LALIGA, France, UEFA Champions League, UEFA Europa, Copa America, Copa Del Rey, Belgium League, Turkish League, CAF Champions LeagueView attachment 1119378View attachment 1119379
Nataka mkono wa kusikia LNB, WANGU UMEVUNJIKA-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app
Smart lnb unauzaje mkuu?Nimeshakucheki tayari
Hcho kingamuzi ni mpaka ninunue na cccam? Au ni mwendo mdundo?1. Wapo faster kutoa software updates
2.Zina videocoding format mpya kama HEVC (H 2.65)
3. Zinafanya autoroll kwenye b*sskeys na pow*rvu
Mkuu umeniambia king'amuzi cha startimez bei ganii mpaka kufikia hatua naangalia inagharimu kiasi gani...?CCAM sio lazima, optional