Fundi dish na wauzaji ving'amuzi

Fundi dish na wauzaji ving'amuzi

Poa poa mkuu kwa zenji mna wakala unounganishe nae..?

Na hiki si ndo hata kama sina vocha naweza kuangalia taarifa ya habari na channel japo moja ya mawaidha?

Vocha yake ya mwanzo bei gani..?
160,000 (king'amuzi+dish+ufundi)
 
Mawakala wapo huko Zenji mkuu
Poa poa mkuu kwa zenji mna wakala unounganishe nae..?

Na hiki si ndo hata kama sina vocha naweza kuangalia taarifa ya habari na channel japo moja ya mawaidha?

Vocha yake ya mwanzo bei gani..?
 
Ni kweli, lakini ving'amuzi kwa sasa sijaviona madukani labla ofisi kwao
Mkuu poppah naskia digitek ukinunua huliipiii tena vocha za mwezi ni kweli hilo?

Kuna king'amuzi ambacho ukinunua ndo umenunua hulipii vocha tena..?
 
Anhaa ok ok Mkuu.
Bei zake zinaanziaje mkuu, hvyo ndo navitaka sitaki ilee tabu ya mwezi mwezii
 
Boss nilitaka kujua Kuna utofauti Kati ya canal decoder na izi freesat v7 combo/alphabox s6 combo/starsat
 
Canal+ ni pay-tv decoder yaani unailipia kila mwezi kupata huduma lakini hizi zingine ni FTA receivers yaani hulipii kwa mwezi kupata huduma
Boss nilitaka kujua Kuna utofauti Kati ya canal decoder na izi freesat v7 combo/alphabox s6 combo/starsat
 
Mkuu malipo ya canal+ ni kiasi gani kwa mwezi? na unalipaje?
Canal+ ni pay-tv decoder yaani unailipia kila mwezi kupata huduma lakini hizi zingine ni FTA receivers yaani hulipii kwa mwezi kupata huduma
 
Canal+ ni pay-tv decoder yaani unailipia kila mwezi kupata huduma lakini hizi zingine ni FTA receivers yaani hulipii kwa mwezi kupata huduma
Mkuu hvyo ambavyo hawalipii ni vepi hvyooo..

Bei zake zikojee aisee
 
HBO channel inapatikana kwenye king'amuzi gani?
 
Back
Top Bottom