🤣😂😁Yupi jamaniMuite na mwenzio wa tujikumbushee,
Na atakomaaa sana mwaka huu
Naunga mkono hojaView attachment 2867887
Wenye akili wanajua kilichofanyika ni upuuzi..
😂Had 100
Na badooo.
Hapana Mkuu, haukutoka wote.Mpira ulishatoka Tena sio nusu, mpira wote ata mshika kibendela hakuangaika nao, Mbaya zaidi refa alikua mita 10 inakuaje atoe maamuzi ya kushangaza.
Hitimisho nikua refa alikusudia na si makosa ya kibinadamu.
Mipira ya pembeni Refa wa kati ana saidiwa na mshika kibendera ambaye hakuona iyo Kona aliyo Iona Refa.
Ndio maana Singida hawaku hangaika na Refa msaidizi kwakua hakua na tatizo.
Uzuri ukweli mnaujua mioyoni mwenu.




nakuambiaa bora ulalee tyuuh.Badooo hujasemaaaMarefa wa nchihaya hongereni watani zangu simba sc




Ule mpira wakati Saido anapiga cross uliguswa kidogo na beki , kama haukuguswa yule kipa na kupenda kupoteza mda asingekuwa anakata mauno fasta kwenda kuudaka nje.Mpira ulishatoka Tena sio nusu, mpira wote ata mshika kibendela hakuangaika nao, Mbaya zaidi refa alikua mita 10 inakuaje atoe maamuzi ya kushangaza.
Hitimisho nikua refa alikusudia na si makosa ya kibinadamu.
Mipira ya pembeni Refa wa kati ana saidiwa na mshika kibendera ambaye hakuona iyo Kona aliyo Iona Refa.
Ndio maana Singida hawaku hangaika na Refa msaidizi kwakua hakua na tatizo.
Sijaelewa kwa nini mnapingana na kocha wenu.N saw we ulitaka asem kwamb ameend kukamilish ratib au
Hawakutegemea, Simba chama kubwa dk za nyongeza zinayoyoma na tunashinda game,hawakutegemea, huko kwenye vibanda umiza walikuwa wanapiga kelele kama kuku wanaoatamia kwamba tumetolewaMuite na mwenzio wa tujikumbushee,
Na atakomaaa sana mwaka huu
Daah ili mechi kama movie ni ya kihindi, Asante Kagere duuuuuuu....... na kona yenu ya mchongo daaaaaahhh



km nakuona unavyoropokwaa kwa mhemkoo.Mkuu Singida hata hawajaumia kama hao wa jangwani wanavyoumiaWatu mnachonga bure tu tujikumbushe wydad anapata goli sekunde kdhaaa mbele simba hatukuwa na noma leo wanafungwa singida amfibia mnakenua midomo hovyo malalamiko yenu hayabadilishi matokeo refa kashaamua ndo basi tena

Kwenda zako huko.
Umeona mmebebwa ndiyo unajitokeza![]()



post memes nifurahi na roho yangu.