version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,026
- 2,381
Nyoko kabisa, sijui lini mpira utakuwa haki
True True.Hatuna timu mkuu! Hakuna project ya maana inayoonekana! Ni kubahatisha tu
Kama Ile mechi ya kwanza ya Wydad na Simba, au?refa kafanya kama wenzie wanavyo fanyaga
AmeshikiliaSingida shikilia hapohapoooo kwenye mshonoo😂😂😂
Hata kona yenyewe ni kama ya mchongo flaniNdiyo maana APR wamesema hawaji tena. Zimeongezwa dk 6, goli linafungwa dak 98 na kitu
kupoteza muda hairuhusiwiUjinga wa Singida ilikuwa kupoteza muda badala ya kutafuta matokeo
Dak ziliongezwa 6 kwanini Refa apeleke mpaka 8 afu kona za kutafta kwa tochiUjinga wa Singida ilikuwa kupoteza muda badala ya kutafuta matokeo
No kweli namaanisha mi niliondoka dakika ya 75 i'm not bluffingKwenda zako huko.
Umeona mmebebwa ndiyo unajitokeza 😬
Churaa endeleeni na shangwee zenuKocha wa APR .... alikuwa sahihi
Makolo tumebebwa
Ndiyo maana APR wamesema hawaji tena. Zimeongezwa dk 6, goli linafungwa dak 98 na kitu