FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
1704833274053.png
Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024.

Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali.

Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege?

1704903798506.png

Kikosi cha Simba kinachoanza
1704904058179.png

Kikosi cha Singida FG kinachoanza

- Onyango na Habibu Kiyombo wametolewa kikosini

- Mpira Umeanza

- Singida wameanza kwa kushambulia kwa kasi

- Goool Rupia anawatanguliza Simba

- Bado Singida wanaliandama lango la Simba

- Dakika ya 40 bado mambo magumu kwa Simba

HT: Singida FG 1 - 0 Simba SC

Kipindi cha pili kimeanza

Dakika ya 50 simba wanapata faulo

Dakika ya 70 bado mambo magumu kwa Simba

Dakika ya 75 Simba inashambulia Singida wanalinda

Dakika ya 80 bado Singida wanaongoza

Dakika ya 90 Singida 1 - 0 Simba

Dakika ya 90 +8 Ngoma anasawazisha hapa

Ni muda wa penati kwa sasa.

FT: Singida Fountain Gate 1-1 Simba SC (Pen: 2-3)
 
Back
Top Bottom